Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
20 ya kiwaki sana half siyo unyama kabisa chamsingi anielekeze tu utaratibu niuzingatie ila haya masuala ya 20 hapana
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Nimejichanga miaka kadhaa hatimae nikapata kakiwanja kangu huko ndanindani Zingiziwa
Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi nimeenda na fundi wangu angalau tugawane rizk tumeanza kuchimba msingi leo tumeanza kuingiza tofauri...
Nimejichanga miaka kadhaa hatimae nikapata kakiwanja kangu huko ndanindani Zingiziwa
Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi nimeenda na fundi wangu angalau tugawane rizk tumeanza kuchimba msingi leo tumeanza kuingiza tofauri...
Tuliza kichwa hakuna biashara kichaa ulichokieleza hapo ni sawa na wale jamaa zetu wa motisha za kilimo cha matikiti
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mtoaji mada nipo hapa kwa maelezo hayo juu ya experience hupaswi kuwa na shaka niunganishe na mmiliki wa gari tuweze kufanya kazi
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
1.Alipataje nafasi huko na yeye si mwalimu haliyakuwa walimu wapo wengi mtaani na vigezo vyao wamekosa?
2. Huko alikopeleka hiyo barua bila kusainiwa na ikapitishwa hadi kuitwa kwenye enterview kuna nani huko?
USHAURI:
Connection aliyoitumia hadi kupata kazi ya awali ya ualimu na connection...
Sina uhuru nalo kutokana na nature ya mmiliki (Boss)niliyekuwanae nyakati zimebadilika zamani kwa masharti aliyokuwa akiyataka ilikuwa angalau unaweza kuvumilia ila kwa sasa hapana kuipata pesa ya uber au bolt inabidi upate muda sana barabarani tofauti na hapo awali trip kadhaa tu unaweza pata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.