CHAKUHAWATA Ndio wakati WAO WA kuvuna wanachama Zaidi.
Kinachotakiwa wafanye kwa Sasa , ni Kupita mashuleni na FOMU ZAO za kujiunga uanachama.
Ndani ya oktoba hii 2023 , wataupiga Sana.
Binafsi Nimemuelewa mtoa Mada >>>> Kuna mahala hapako sawa Kabisa ... Kuna kipindi unalipa deni walilokupatia Hazina kwa njia ya makato ya mshahara WA Kila mwezi >>> Mungu anakusaidia deni linakwisha >>> baada ya MIAKA 3 hivi ... Wanarudi kwa makato Mengine Tena >>> Ukiwafikia OFISini kwao Kujua...
Ndio Inawezekana, .., Mimi NILIFANYA HIVYO kabla sijaezeka kwa lengo la kupambana na mvua zitakazo sababisha Msingi kutitia..
HIVYO kwangu Mimi naona ni maamuzi sahihi Sana.
BILA BAKORA ZENYE VIWANGO KWA VIJANA WETU WA KIAFRIKA, BASI TUSITARAJIE MATUNDA BORA YA ELIMU ...., MAANA MATUNDA HAYO YOTE YATALIWA NA NYANI KWAKUWA TUMEAMUA KUCHEKA NAO ......
KAMATA HIYO .....
Big up Sana , UMEONGEA kizalendo Sana na sio KISHABIKI.
Tufike MAHALI , WA Tz tuachane Kabisa na utani ama ushabiki katika masuala ya kisiasa. Tunapoikumbatia tabia hii ndio inachochea zaidi maadui WA Taifa yaani Udini, Ukabila, ukanda , n.k . KUAMKA na kutuangamiza vibaya mno.
Pointi YAKO ni dhaifu unapo Potezea Suala la Muda katika Mkataba. Na pia ni dhaifu zaidi Sana unapolinganisha ndoa za mikataba ya kiserkali za Dunia , na ndoa za kiimani za kidini.
Cha Msingi Cha kujiuliza ,> Kwanini Tusiziendeshe sisi wenyewe kwakuwa wataalamu wapo.
Wanachokwepa serikali ni...
Kisha wataja saana .... Mchumia Tumbo yeyote yule Mahala popote alipo ni Mhuni, Wabaya zaidi waliopo kwenye Siasa.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji23][emoji28][emoji23][emoji1787] Ndio tujue kuna uhuni tu unafanyika.. Hili suala halitofautiani na wafanya biashara wa Sukari ... Wanapoamuaga kuficha sukari Yao .... Na hivi nisemavyo sio muda mrefu utasikia tena kuna MGAWO WA SUKARI TANZANIA [emoji350]
Sent from my TECNO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.