Recent content by Drizzle

  1. Drizzle

    Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

    Ni jambo private kidogo. But never mind.
  2. Drizzle

    Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

    Mkuu kwema. Ninaomba unicheki PM. Shukrani
  3. Drizzle

    Wauzaji wa Tyre na battery za magari aina zote

    Nipe bei 255/60R18 lakini sio mchina
  4. Drizzle

    Uzi maalum kwa watu wanaohitaji kuagiza magari, ama wenye malengo ya kuagiza magari

    Kuna agent wa kuagiza magari ya ulaya bongo. Kama vile ilivyo kwa magari ya Japan, i.e., beforward, etc
  5. Drizzle

    Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

    Hakuna mwenye guarantee ya kutokwenda jela either kwa kutenda au kusingiziwa. Hivyo usijione upo salama. BTW, siku ukiingia halafu wakakutia vidole na wakuchungulie kwenye tundu lako la haja kubwa ndio utajua umuhimu wa hili linalozungumzwa.
  6. Drizzle

    Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

    Kwani aliposema kufungwe mashine maalum hajatoa solution ya tatizo?
  7. Drizzle

    Car4Sale Miliki gari ya heshima Fortuner ya mwaka 2013

    Hapa umechanganya picha za Toyota Hilux
  8. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Naendelea kutafakari ili nielewe kwa urahisi
  9. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Sijui hata kama nitavuka ngazi moja
  10. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Yangu inafuata ile Maslow's theory of needs. Ila hadi sasa bado sijajua nipo wapi kwenye ile pyramid
  11. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Nakuelewa sana mzee mwenzangu [emoji2][emoji2][emoji2]
  12. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Na ukisha fulfill hizo ambazo huna needs nyingine zitaibuka
  13. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    Akili zako unazijua mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Drizzle

    Ulitoboa maisha ukiwa na umri gani?

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa sababu hiyo ni very relative term na kila mtu ana tafsisri yake. Mwingine akiwa na uhakika wa milo 3 per day anaona ametoboa life. Tafsiri yako iko tofauti na yangu [emoji2][emoji2][emoji2]
Back
Top Bottom