Pumba sasa wewe mtoa mada hivi unadhani ile milima au hayo madaraja unatoka tu kwako na sururu au chepe unakwenda kuchimba au kujanga.Wewe ilitakiwa kuilaumu serikali na sio mtu mmoja kamaliza chuo hana hata practical ya kujenga tofari la udongo
kama unakopa sehemu achana nayo kwani mke wako hivyo sio vipao mbele vyake itakufa hiyo biashara utamlamu nani ulikuwa wapi kukopa wakati ana kazi ili kuisikilizia moja wapo. muache akuje njombe tulime maparachichi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe sikosei tena kanakuwa kamekamilika kila idara kasoro akili tu ndio najua katakuwa hakana maana huwezi kuwa na vyote [emoji846][emoji846]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.