VITU BAADHI VYA KUZINGATIA:
1. Acha kuangalia picha na mikanda ya ngono(pornography) na kujichua au punyeto. Hii husababisha akili yako kuwa stimulated na picha hizi tu. Ukikutana na mwanamke halisia physically inakuwa ngumu kupata hisia kutoka kwake na ngumu sana kufanya tendo.
2. Epuka kuwa na...
Mkuu ningeandika vitu vingi hapo nimefanya kaufupisho tu kwa sababu lengo kuu lilikuwa ni kuelezea jinsi jamaa alivonitapikia miguuni tu..ningeanza kusema na demu nkachukua namba na tulvofika moro tukakutana sehem fulani baada ya siku kadhaa....mastory yangekuwa marefu mno mkuu
Habari zenu wakuu
Leo ningependa kila mtu aweke tukio lake alilowahi kuliona kwenye mabasi ya mikoani.
Nikianza na mim mwenyew,
Mwezi wa 1 nlkua natoka Dar naenda Moro ndani ya Alsaedy bus full kiyoyozi nimeulamba kila kitu na chini nna kiatu changu kipyaaaaa!
Pemben amekaa binti ambaya kwa...
kwa upande mwingine ni kweli jizi inaweza kutumika kama mwizi ...lakini si Kiswahili fasaha..kila eneo lina rafudhi yake au (jinsi wanavyotamka maneno) kwa mfano: hapo hapo tanga si ajabu mtu kusema "Moto wawaka" badala ya "Moto unawaka" na maeneo mengine pia hivyo hivyo....si kama sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.