Nchi za kikristo ni zipi?, kama nchi zenye wakristo wengi hata Congo DrC, ina wakristo wengi?, Peace is a philosophical term?, hivi amani ni nini ?,na hizo grounds za definition utayoitoa ,je ni universal kwa kila watu ? Ethiopia mbona inakimbiwa sana na watu wake ?
Mungu anisaidie Kuna mtu kunidhulumu mtoto hapo pwani, yaani nipoteza mtoto hivi hivi?. Ninachomuwazia ipo siku serikali itaingilia kati. He has influenced the denial of my accessibility to the child for almost two years now. Inaniuma mnoo.
HRO, bila mentorship huwezi pewa. Just a graduate upewe taasisi ,sio rahisi. Tafuta sehemu ujitolee kidogo ujenge network na kuaminika. Kwa h/shauri jifunze pia siasa za huko. Wanaweza kukuazimia ukileta u GPA wako tu. Nakuombea kwa Mungu milango ifunguke
Apumzike kwa amani Mzee Ruksa. Ndo muasisi wa institutions, sio serikali kutegemea mawazo ya mtu mmoja. Aliyewageuka ndugu,jamaa na marafiki baada ya kupata madaraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.