Habari zenu wana jamii forums natumaini wote muwazima.
Nataka kuhama kutoka T.I.A singida kuja kusoma Dar es salaam, je ni chuo gani kizuri Kwa course ya accountancy level ya diploma.
Naombeni ushauri wenu.
Natamani sana kujitegemea lakini nataka nikitoka Kwa wazazi niende kwangu kabisa kero za kupanga sitoweza.
Kati ya kujenga na kununua nyumba kipi nafuu Kwa wazoefu?
maana nataka nisepe home soon🙏
Habari zenu wana jamii,
Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Public Administration(Certificate) ameshindwa kufikisha course work kwenye masomo yote. Msaada wenu mtu kama huyu tunamsaidiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.