Mie sio muandikaji sana humu JF lakini hii acha niwachekeshe..
Nimemaliza tu chuo nikapata kazi mkoa A uko nikakutana na mkaka uuwwiii (anakidhi vigezo vyangu) ukizingatia nna upwiruu Boyfriend tulipomaliza chuo yy alipata kazi mkoa mwingine.
Basi bana muda ukapita km 6mnth kila mtu...
lara 1 nashukuru Mungu juu yako kuleta hii mada humu.. this is FACT FACT FACT FACT....imagn mdada wants a posh man lakin sasa akikaa mahali anaongea kwa makelelee.. vinguo vya ajabuuu nywele ina rangi 6 kichwani..khaaa
Mi pia ana ni inspire sana tu katoka mbali kwao mabogin enzi hizo ndio kaja arusha kuanza maisha kwa advocate mawala he ws very innocent.tangu azishike duh..
ila jamaa ana ulimbukeni flani wa hela na wanawake ndio unaonitoa povu apa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.