Recent content by Dramma queen

  1. D

    "Una malengo gani na Mimi?"

    Eehhh we niambie tu tuchezeane [emoji1787] Mkuu umemisika, long time
  2. D

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Akileta uniite Mkuu
  3. D

    Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

    Mie sio muandikaji sana humu JF lakini hii acha niwachekeshe.. Nimemaliza tu chuo nikapata kazi mkoa A uko nikakutana na mkaka uuwwiii (anakidhi vigezo vyangu) ukizingatia nna upwiruu Boyfriend tulipomaliza chuo yy alipata kazi mkoa mwingine. Basi bana muda ukapita km 6mnth kila mtu...
  4. D

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    wewe kaka una nafasi yako mbinguni, u nailed it
  5. D

    Watanzania tubadilishe mitazamo ya kutaka kufanya sherehe kubwa za gharama

    Nimechekaaaa kwani watendaji kata uku Mpanda tumekukosea nini lakini
  6. D

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Nimechekaaaaaa una nn lakini Hannah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. D

    Jinsi ya kupata mume wa maana, mwenye maisha mazuri Bongo hii

    lara 1 nashukuru Mungu juu yako kuleta hii mada humu.. this is FACT FACT FACT FACT....imagn mdada wants a posh man lakin sasa akikaa mahali anaongea kwa makelelee.. vinguo vya ajabuuu nywele ina rangi 6 kichwani..khaaa
  8. D

    Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

    Mi pia ana ni inspire sana tu katoka mbali kwao mabogin enzi hizo ndio kaja arusha kuanza maisha kwa advocate mawala he ws very innocent.tangu azishike duh.. ila jamaa ana ulimbukeni flani wa hela na wanawake ndio unaonitoa povu apa
Back
Top Bottom