We kaka, hadi nimetoa machozi, Mungu akusaidie pole sana... Kwanza, unahitaji ushahidi kuwa ile kesi ya kwanza alikusingizia.
Nenda polepole, unaweza kuwa unamtumia sms ukiwa kazini kumuelezea namna gani unampenda na ulivyoumia aliyokufanyia. Si unasema anaomba msamaha sana? Hii inamaanisha...
Kwa wengine wote mlio comment kejeli na mengine
Sikuwa na sababu ya kudanganya although nikiri tu nilikua mzembe kidogo nilimuamini kwa kumuangalia binti alikua mdogo kwa umbo na alionekana very innocent..na pia huyo dada ni mwizi expert anajua anachokifanya rejea bank walisema wameshapata...
Cjui alikaririje mayb aliweka camera.. Au aliangalia kwa mbali cjui.. Coz wkt nafanya muhamala alikua pembeni kabisa...alisogea wkt anataka kunitolea card..
Cjatumia card wik 2 since nlikua na ka akiba kengine apart frm laki 2 nliyotoa tht day.. By the way kazin walinilipia meals na...
Cjui alikaririje mayb aliweka camera.. Au aliangalia kwa mbali cjui.. Coz wkt nafanya muhamala alikua pembeni kabisa...alisogea wkt anataka kunitolea card..
Cjatumia card wik 2 since nlikua na ka akiba kengine apart frm laki 2 nliyotoa tht day.. By the way kazin walinilipia meals na...
Cjui alionaje password aaisee cjui inaweza kuwa nlikua mzembe tho alikua ame concentrate kuhesabu hela zake na..wkt anavuta card mm nilikua nazidaka hela nilihisi anataka kuchukua zile hela..
Nikiri tu huyu dada ni expert
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.