Recent content by Dr. Zaganza

  1. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Jumuiya na madhehebu ya kikristo karibu yote makao makuu ni Nchi za ulaya Magharibi. Kisiasa hawanufaiki na Urusi

    Dunia ya sasa ni ya kuishi kinafiki ukiwa kiongozi
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Huwezi kupata hela nyingi kwa njia za halali, tafuta pesa kwa siri yako ya moyoni

    Kizazi kilichokosa uvumilivu Akina azizi ally walianzia chini.kikubwa biashara Yako iwe inaondoa matatizo sugu kama njaa, makazi, maji n.k
  3. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Umeme wa Solar : Nini Kinahitajika na Kiasi Gani..?

    uzi na uendelee
  4. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    mkuu tuwasiliane. niko Kibaha, kuna wahitaji nawajua,utasaidia sehemu ya tatizo
  5. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    maadam bado unapata hedhi, tatizo la homoni linatibika. tuwasiliane
  6. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Je, kifo ni mwisho wa maisha au kuna dunia nyingine baada ya hapa?

    Kama duniani umeletwa bila kuchagua Uje ,usije Lini, Wapi, Jike, dume Black, white Basi ni wazi kufufuliwa pia si jambo la hiyari yako.Kikubwa fuata maelekezo ya alokuleta ,Muumba
  7. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Kwa hali hii wabongo tutazidi kuwa maskini!!

    Umeufunga mjadala. Nchi inahutaji wachache waweke mifumo ya wengi kuishi vyema , Tazama nchi kama dubai ina mafuta kidogo kuliko Nigeria, ila imewekwq mifumo na kusimamiwa kila raia afanye kazi na kunufaika.Nenda china, n.k
  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kushirikiana katika kutafuta Masoko ya Bidhaa zako

    Zama hizi hata insta huna?
  9. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Hivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??

    Binadamu kaumbwa awe msimamizi wa kila kinachomzunguka , lakini atumie muongozo wa Muumba katika usimamizi huo ili waishi kwa furaha. Bahati mbaya baadhi ya binadamu wametunga nadharia za kupinga muongozo wa Muumba ili wapate kuzimiliki akili za binadamu wenzao .Matokeo ndo haya kutohurumiana...
  10. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Natafuta Idea ya System Itakayozalisha Kipato

    Kila mtu Ana idea ya biashara ,unachohitaji ni ujasiri wa kuanza na kidogo, kuvumilia kukikuza, hadi partners wakuone.Hapo kati ndo wengi wanapokimbia na kubaki anachenji idea kila mwaka. Bakhresa alidumu na mgahawa hadi National miling zilipobinafsishwa, akapata kukua. Tafuta walotoboa wote...
  11. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa kike nchini Tanzania wafuata ndoto zao kwa kujifunza lugha ya Kichina

    Hatua nzuri,tujifunze lugha za wawekezaji ikiwemo kiarabu na Chinese
  12. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ukiona umefanikiwa kimaisha,tafadhari kaa karibu na watu wafuatao mtaani kwako

    Pesa kakupa muumba,, kuwa karibu na yatima,wajane n.k walobaki waheshimu tu, na usioneshe kuwaogopa. Akina manji walikuwa na connection zoote na kikawalamba
Back
Top Bottom