Recent content by Dr. Zaganza

  1. Dr. Zaganza

    Hello Kenyans, Naomba contacts za wauza old cosmetics hizi

    Dr Mussa Zaganza: I am looking for these old cosmetics They are sold at Isirii shops : Plaese help me to contacts of sellers My number is : +255 713 039 875 Dr.Mussa Zaganza Pamoja, tunaweza!!
  2. Dr. Zaganza

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Picha ya Ndege Kibaha, jirani na Hospitali ya Wilaya

    Tunauza viwanja vilivyopimwa na vyenye hati, vilivyopo Kibaha Mjini, mita chache tu kutoka zilipoanzia barabara ya mwendo kasi.Vipo kando ya hospitali ya wilaya ya Kibaha 💰 Bei ya kawaida: Tsh 10,000 kwa square meter (Cash) Lakini kwa members wa kundi hili nimeweka OFA MAALUM 📐 Mfano kiwanja...
  3. Dr. Zaganza

    The worst prison in the world is home without peace. Be careful who you marry or fall in love with

    Nikisoma mada mitandaoni au status za whatsapp, nagunda kizazi hiki tuna watu walaini mnoo. Chukulia mwanaume umerudi home mkeo hajapika, kalala au anaangalia otoman, kwa wazee wa zamani anaingia jikoni anapika na kumuandalia mkewe kingine,akitaka ale au asile. Au anaagiza chips, siku imepita...
  4. Dr. Zaganza

    Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Nywele kuanza potea ( hair loss) ni ishara mkuu una upungufu wa protein aina ya keratin inayounda nywele na kucha. Tuwasiliane kwa 0713 039 875 kwa dozi
  5. Dr. Zaganza

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Pia baadhi hawaulizi elimu ya afya ya ngozi na vipodozi kabla hawajanunua. Mfano Whitening: kujichubua Lightening : kung'aa bila kubadili rangi asili Brightening:Ondoa madoa na mabaka Piga 0713 039 875 kwa ushauri wa BURE wa afya ya ngozi.
  6. Dr. Zaganza

    Uliza swali lolote juu ya afya ya ngozi

    Tunakumbushana sikukuu hizi epuka makeup za kubandika
  7. Dr. Zaganza

    Natafuta shamba la kukodi Morogoro

    Ndiyo, piga 0713 0713 039 875
  8. Dr. Zaganza

    Vijana wa kiume chukueni ushauri huu

    Kuna eneo umekosea. Jamaa yangu katafuta vijana 5 hadi 10 wasio wake akiwemo kijana wa waifu wake alomkuta naye,Kisha anawapa matunzo sawa kama ada, ajira n.k Wife na kijana wake kila wakitaka kujitenga wanaona jamaa ana mtaji watu wa kutosha. Hata usipooa mke mwenye mtoto, unaweza kulea...
  9. Dr. Zaganza

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Uko sahihi.Msiba wa mswahili haukosi sababu
  10. Dr. Zaganza

    Mwitikio wa Kitabu cha Eric Kabendera umekuwa tofauti na Matarajio

    Mila za kiafrica marehemu hasemwi Mila za kiislamu taja mema tu ya marehemu
Back
Top Bottom