Mwenyezi mungu ni muadilifu. Kwenye Quran ameahidi hatomuadhibu mtu ambaye kaishi hadi kufa hajawahi kusikia habari za mitume .Qur-an 17:15 9"Wala Sisi hatukuwa wenye kuadhibu mpaka tuwapelekee Mtume." Hapo kundi la msamaha wanaingia vichaa, watoto na watu waloishi bila kusikia habari za Muumba.
Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano ya moja kwa moja na ubongo.
Ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana miaka ya hivi karibuni.
Kinachosababisha ganzi...
Poleni mkuu. Uvimbe wa tezi dume unatibiwa na mmea unaitwa voacanga Africana au mbwewe kiswahili. Pia kula mbegu 2 za tunda hili ni kinga ya tezi dume kama mwanaume umefika miaka 40. Kama uko mbali na SUA au MUHAS, tuwasiliane kwa 0713 039 875. Dozi tuloandaa ya mwezi mmoja tzs 120,000
Baadhi ya viambato hai vya skincare (active ingredients) hufanya kazi pamoja kusaidia kuongeza unyevunyevu, kuondoa seli zilizokufa za ngozi, na kurekebisha kinga ya ngozi (skin barrier). Kuchagua viambato sahihi kunaweza kuleta tofauti kubwa katika jinsi ngozi inavyokuwa laini na yenye...
Jina maarufu ni kihindi hindi
Makabila machache huuita mavimbe na wengine mlayuni
kisayansi tunauita cissus Quadrangularis
Tafuta mmea huu, majani ya mzambarau na kashkashstar anise) na andaa kwa formula hii
1. Unga wa Kihindihindi (Cissus quadrangularis), 100gm
2. Unga wa majani ya Mzambarau...
Star Anise (kash kash) ni kiungo cha thamani kinacholimwa zaidi maeneo ya milimani yenye baridi kama Lushoto na Nyanda za Juu Kusini. Mti wake huchukua miaka kadhaa kuanza kutoa matunda, huku msimu mkuu wa uvunaji ukiwa ni kati ya Machi na Mei. Baada ya kuvunwa, matunda haya huanikwa juani hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.