Recent content by Dr. Zaganza

  1. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Walioishi kabla ya Yesu na Muhammad wamepotea ?

    Mwenyezi mungu ni muadilifu. Kwenye Quran ameahidi hatomuadhibu mtu ambaye kaishi hadi kufa hajawahi kusikia habari za mitume .Qur-an 17:15 9"Wala Sisi hatukuwa wenye kuadhibu mpaka tuwapelekee Mtume." Hapo kundi la msamaha wanaingia vichaa, watoto na watu waloishi bila kusikia habari za Muumba.
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ganzi, chanzo na tiba yake asilia

    Ganzi mikononi na miguuni inamaanisha kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo. Hisia ndiyo inakosekana sababu kunakuwa hakuna damu na neva zinakosa mawasiliano ya moja kwa moja na ubongo. Ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana miaka ya hivi karibuni. Kinachosababisha ganzi...
  3. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Unasumbuliwa na maumivu ya magoti ,mgongo au ganzi kwa mikono na miguu

    tunauza dawa ya tatizo hilo. elf 50
  4. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Unasumbuliwa na maumivu ya magoti ,mgongo au ganzi kwa mikono na miguu

  5. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na Chunusi...

  6. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Tezi dume

    Poleni mkuu. Uvimbe wa tezi dume unatibiwa na mmea unaitwa voacanga Africana au mbwewe kiswahili. Pia kula mbegu 2 za tunda hili ni kinga ya tezi dume kama mwanaume umefika miaka 40. Kama uko mbali na SUA au MUHAS, tuwasiliane kwa 0713 039 875. Dozi tuloandaa ya mwezi mmoja tzs 120,000
  7. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    peleka kwa dealer mkuu.bora utozwe gharama,lakini maisha yako barabarani ujiamini
  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Je, unapenda biashara ya Vipodozi?

    Kama unapenda biashara ya vipodozi na una mtaji mdogo ila una uaminifu, tuwasiliane kwa 0713 039 875
  9. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania ZIJUE SABABU ZA KUWA NA RATIBA YA VIPODOZI VYOTE VYA ASILI

    Baadhi ya viambato hai vya skincare (active ingredients) hufanya kazi pamoja kusaidia kuongeza unyevunyevu, kuondoa seli zilizokufa za ngozi, na kurekebisha kinga ya ngozi (skin barrier). Kuchagua viambato sahihi kunaweza kuleta tofauti kubwa katika jinsi ngozi inavyokuwa laini na yenye...
  10. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Kisukari kilogoma kushuka, Tumia mmea huu

    Jina maarufu ni kihindi hindi Makabila machache huuita mavimbe na wengine mlayuni kisayansi tunauita cissus Quadrangularis Tafuta mmea huu, majani ya mzambarau na kashkashstar anise) na andaa kwa formula hii 1. Unga wa Kihindihindi (Cissus quadrangularis), 100gm 2. Unga wa majani ya Mzambarau...
  11. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Nafeel Kuna hisia za u-baba umezimiss .Mola akufanyie wepesi, msipooanana duniani,mtaonana akhera
  12. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Tiba za kihindi (ayurvedic) na za asili za Tanzania malipo ni baada ya kupokea mzigo

    Unahisi uchovu ukiamka na hata baada ya kuoga? Tafuta unga wa amla na ubuyu, kunywa kijiko na maji moto. Upungufu wa madini utakaa sawa
  13. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania kufa masikini Tanzania ni kujitakia

    Uzi mzuri hadi ikute mzazi wako kijijini kuporwa ardhi yake kwa hati za kufojiwa na unaowaita ' wajanja'
  14. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ujue mmea wa mkandandogowe kwa magonjwa yote ya ngozi

    Ujue mmea wa mkandandogowe kisayansi psorospermum febrifegum Matatizo ya Ngozi (Upele, Fangasi, Vidonda)...
  15. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Yajue maajabu ya star anise spice (kash kash) katika tiba

    Star Anise (kash kash) ni kiungo cha thamani kinacholimwa zaidi maeneo ya milimani yenye baridi kama Lushoto na Nyanda za Juu Kusini. Mti wake huchukua miaka kadhaa kuanza kutoa matunda, huku msimu mkuu wa uvunaji ukiwa ni kati ya Machi na Mei. Baada ya kuvunwa, matunda haya huanikwa juani hadi...
Back
Top Bottom