Kama duniani umeletwa bila kuchagua
Uje ,usije
Lini,
Wapi,
Jike, dume
Black, white
Basi ni wazi kufufuliwa pia si jambo la hiyari yako.Kikubwa fuata maelekezo ya alokuleta ,Muumba
Umeufunga mjadala. Nchi inahutaji wachache waweke mifumo ya wengi kuishi vyema , Tazama nchi kama dubai ina mafuta kidogo kuliko Nigeria, ila imewekwq mifumo na kusimamiwa kila raia afanye kazi na kunufaika.Nenda china, n.k
Binadamu kaumbwa awe msimamizi wa kila kinachomzunguka , lakini atumie muongozo wa Muumba katika usimamizi huo ili waishi kwa furaha. Bahati mbaya baadhi ya binadamu wametunga nadharia za kupinga muongozo wa Muumba ili wapate kuzimiliki akili za binadamu wenzao .Matokeo ndo haya kutohurumiana...
Kila mtu Ana idea ya biashara ,unachohitaji ni ujasiri wa kuanza na kidogo, kuvumilia kukikuza, hadi partners wakuone.Hapo kati ndo wengi wanapokimbia na kubaki anachenji idea kila mwaka. Bakhresa alidumu na mgahawa hadi National miling zilipobinafsishwa, akapata kukua. Tafuta walotoboa wote...
Pesa kakupa muumba,, kuwa karibu na yatima,wajane n.k walobaki waheshimu tu, na usioneshe kuwaogopa. Akina manji walikuwa na connection zoote na kikawalamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.