Recent content by Dr. Zaganza

  1. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Tiba za nywele

    Nywele zinaweza kutibiwa njia mbalimbali Kemikali Mimea Mafuta Hivi vyote vinaweza kuchanganywa katika bidhaa Shampoo Conditionner Steaming Proteins Mafuta ya Maji/ Mgando Lotions KEMIKALI Kemikali mbalimbali za viwandani uwekwa katika bidhaa ili kupata matokeo...
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Mjasiriamali ana stress kwenye hatua hizi 3, uko hatua ipi?

    Biashara ikiwa inaanza kuna stress ya kupata wateja Biashara ikipata wateja wengi na mauzo mazuri kuna stress ya usimamizi(wasaidizi waaminifu, kuweka rekodi n.k) Biashara ikikuwa, au umepata pesa imezidi mahitaji ya biashara ya sasa ,Kuna stress ya kuanzisha biashara mpya Upo hatua ipi?
  3. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Long live JF
  4. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania VIDONDA VYA TUMBO

    Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) ni Ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijidudu au mchubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula michubuko hiyo huweza kujitokeza katika eneo la mfuko wa utumbo katika eneo la koo Inakadiriwa kuwa asilimia 5 hadi 10 ya watu hupatwa...
  5. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wateja Kuhama Bandari ya Dar Es salaam na kuhamia Bandari ya Tanga

    Na mtwara waboreshe.ushindani uharakisha maendeleo
  6. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Jua madhara ya mrundikano wa sumu kwa utumbo wako

  7. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Tiba za kihindi (ayurvedic) na za asili za Tanzania malipo ni baada ya kupokea mzigo

    mnadani. wakala wa dodoma piga 0758 315 914.Ulizia dawa za Dokta Zaganza
  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    nielekeze mkuu jinsi ya kupandisha sauti ya dereva alopona baada ya kuanza dialysis
  9. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Fahamu chanzo cha kukosa choo na madhara yake

    CONSTPATION NI NINI ? Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au" Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo Kama tope Jeusi au Vipande Vipande Kama Cha Mbuzi na Kwa...
  10. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    POmbe inaathiri homoni ya kutunza maji na kufanya ukojoe sana(ADH).Kwenye kukojoa sana huku mwili hauna maji ya kutosha, ndo chujio la mwili(a.k.a figo) linazidiwa. Kumbuka taarifa za haya magonjwa yasiyoambukiza kama figo, cancer, kisukari, presha wagonjwa wanaulizwa mitindo yao ya maisha...
  11. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    Hii anatumia mpaka aloanza dialysis ( ataanza kupunguza idadi za dialysis) na hatimaye kuacha baada ya miezi 3
  12. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Sheria; Ndugu yangu kaangukiwa na tofali Kariakoo, wanagoma kumfidia

    Habari wakuu, Nina ndugu yangu ,shughuli zake ni kuuza dawa asilia mtaa wa nyamwezi na mkunguni ,kariakoo. Akiwa kwenye majukumu yake mtaa huo,kuna ghorofa linaendelea na ujenzi, tofali likatoka juu na kumgonga kichwaniMungu mkubwa, CT scan imeonesha fuvu la kichwa halijaathirika. Kamaliza...
  13. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    Dozi hii tuloandaa ni elf 50
  14. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Tiba za kihindi (ayurvedic) na za asili za Tanzania malipo ni baada ya kupokea mzigo

    Hernia powder;shs 40,000 dozi Siku 7 ni dawa ya Asili inatibu tatizo la ngiri na uvimbe, Korodani kushuka na kuingia ndani,maumivu ya Korodani, ume kulegea au korodani kuvimba, homoni msawazo shs 40,000 dozi siku 28 ni dawa bora ya kutibu magonjwa yote ya uzazi -Ugumba, Pid, chango la...
Back
Top Bottom