"Ukiona Kiongozi anashindwa Kuwajibika ujue kwamba, huyo Kiongozi ni dhaifu, na yupo kwa ajili ya Maslahi Binafsi bila ya Kujali Maslahi Mapana ya Umma"
********************************
Pia Ukiona Wanaopaswa kumuwajibisha Kiongozi fulani hawamuwajibishi, ujue kwamba, Wawajibishaji ni dhaifu, na...