hivi wakuu PCCB si sio taasisi ya MUUNGANO why mzanzibar aiongoze.kule znz wao wana ZAECA.Naona kwa mbali huyo DG mpya wa PCCB anakuja kumrithi IGP SIRO,mana kasharushwa cheo kutoka ACP TO CP.kuna cheo cha SACP kakiruka hapo.i think hyo ndo IGP mpya after SIRO
Mleta uzi idara ya uhamiaji haiusiki na kazi.inachofanya uhamiaji ni kutoa resident permit baada ya mhusika kupata work permit.kwa kuongezea hapa ni kwa ajili ya usalama tu wa nchi yetu.wakenya na wahindi ndo jamii zinazoongoza nchini mwetu kuishi kiujanja ujanja.mkenya na mhndi anaweza akakaa...
Historia ya bunge la JMT kupata Kulwa na Doto kuwa wabunge imefutwa,nduguye waziri wa madini Doto Biteko wamemkata Jimbo la busanda licha ya kuongoza kura ya maoni
Sh
Shukran mkuu,uzuri mwezi ujao nina safari za kutembelea vijijini nitachuguza nione but hizi nyota nilizokuwa naziona kutokea hapa Dar na umeme wa majumbani ulikuwa umeenea nyumba nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.