Recent content by Dr rujana

  1. D

    Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

    daah maisha haya hayana formula kbsa na haki pia
  2. D

    Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

    hivi wakuu PCCB si sio taasisi ya MUUNGANO why mzanzibar aiongoze.kule znz wao wana ZAECA.Naona kwa mbali huyo DG mpya wa PCCB anakuja kumrithi IGP SIRO,mana kasharushwa cheo kutoka ACP TO CP.kuna cheo cha SACP kakiruka hapo.i think hyo ndo IGP mpya after SIRO
  3. D

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Duuuh! Hivyo vitu vilivyotengeneza tunguri ni hatari
  4. D

    Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

    yap ni yeye.Dr Pima alikuwa mwalimu wa Gambo IAA
  5. D

    Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

    Mleta uzi idara ya uhamiaji haiusiki na kazi.inachofanya uhamiaji ni kutoa resident permit baada ya mhusika kupata work permit.kwa kuongezea hapa ni kwa ajili ya usalama tu wa nchi yetu.wakenya na wahindi ndo jamii zinazoongoza nchini mwetu kuishi kiujanja ujanja.mkenya na mhndi anaweza akakaa...
  6. D

    Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

    Kwa kuongezea hata Askari wastaafu wa Jwtz ni part ya Jeshi la akiba
  7. D

    Rais Magufuli amekosea sana kuagiza magari ya kesi za Uhujumu Uchumi yapewe Taasisi za Serikali

    Kule Zanzibar Kuna baadhi ya taasisi za SMZ zinatumia magari used
  8. D

    GE2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

    Historia ya bunge la JMT kupata Kulwa na Doto kuwa wabunge imefutwa,nduguye waziri wa madini Doto Biteko wamemkata Jimbo la busanda licha ya kuongoza kura ya maoni
  9. D

    Mfahamu Dikteta Hastings Kamuzu Banda wa Malawi aliyepiga marufuku kuvaa suruali

    Kwahyo jamaa alikubali kuhasiwa kwa malipo ya kuitawala Malawi,daah Bora nibaki na umaskin wangu lakin mashine iendelee kutwanga na kupepeta
  10. D

    Swali kwa Astronomers: Nini kimesababisha nyota kutoonekana kwa wingi angani?

    Kweli,itafikia kipindi wajukuu zetu watakuwa wanaziona nyota kupitia vitabu tu na sio kuona kwa macho yao wenyewe
  11. D

    Swali kwa Astronomers: Nini kimesababisha nyota kutoonekana kwa wingi angani?

    Sh Shukran mkuu,uzuri mwezi ujao nina safari za kutembelea vijijini nitachuguza nione but hizi nyota nilizokuwa naziona kutokea hapa Dar na umeme wa majumbani ulikuwa umeenea nyumba nyingi
  12. D

    Swali kwa Astronomers: Nini kimesababisha nyota kutoonekana kwa wingi angani?

    za za begani naziona kwa sana mkuu😁😁😁
Back
Top Bottom