Tangu mwaka jana jukwaa hili lilizuiwa kwa muda wa siku 90 na TCRA.
Tulipitia wakati mgumu sana kwa sababu hili jukwaa lina manufaa mengi sana hasa kwa ustawi wa taifa letu.
Ni kupitia jukwaa hili ambapo wananchi huwasilisha kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Ni kupitia jukwaa hili...
Ukilinganisha utendaji wa watumishi wa serikali na private ni tofauti sana.
Hawa wa serikali hawajali kukusanya na kuweka urahisi katika mapato bali hugeuka vikwazo.
Wa private wanahakikisha mapato yanakusanywa kwa urahisi na uhakika.
Watumishi wa private wanaamini kwamba bila kukusanya...
Ahsante sana chief,
Afuatilie kwa sababu hata ukiangalia miongozo ya packages za NHIF inaonesha bronchoscopy inalipiwa kuanzia Level II hospital (hospital za mikoa) mpaka za zonal and national hospitals, NHIF wanalipa bronchoscopy Tsh.150,000/-
Pole sana.
Chanzo cha tatizo lako la kupungua nguvu za kiume ni hilo tatizo la Thyroid hormones.
Mojawapo ya madhara ya matatizo ya thyroid hormones ni kuathiri nguvu za kiume na uwezo wa kushika mimba kwa mwanamke.
Kwa hiyo ulitakiwa utibiwe chanzo cha tatizo (thyroid hormones disorder) na...
Pole sana.
Kuna mambo mengine kama hilo la utofauti wa malipo ya hela ya bima ni sawa kabisa, wala sio tatizo.
Mara nyingi kuna utaratibu wa mgawanyo wa hela ya bima ambao kila taasisi hujiwekea na taasisi nyingi hufuata kigezo cha kiwango cha elimu, mwenye kiwango cha juu kiwango cha malipo...
Binafsi nimetafuta kiwanja wilaya moja mwaka jana January 2025. Nilioneshwa kiwanja nikalipia mwezi February na baadae mwezi May 2025 nililipia fedha kwa ajili ya kupatiwa hati ya umiliki.
Baada ya kulipia hati tuliambiwa kwamba itakuwa tayari ndani ya wiki mbili ambapo nilienda nikaambiwa...
Kuna vitu waliahidi kwamba watafanyia kazi na kukamilisha ndani ya siku 100 lakini sioni kama watatimiza kwani nguvu na macho yao yameelekezwa kuwinda wachache wanaoongea...
Pamoja na kupata madaraka kwa kutoa uhai na kumwaga damu bado kauli zao si za kujenga na kuliunganisha taifa kuwa moja...
Aliahidi kutimiza mambo mengi ndani ya siku 100, lakini sioni kama atatimiza.
Mpaka sasa hayupo kwenye focus ya kufanya yale aliyoahidi kutimiza ndani ya siku 100, badala yake naona wanapambana kuwafungulia kesi za uhaini raia walioandama.
Nilishangaa sana mwanasheria mkuu wa serikali mara tu...
Ndiyo, sura zao ni kama vile wapo kwenye msiba,, ni kama vile wanaomboleza wakati wapo kwenye tukio ambalo lingewafanya wajae nuru na furaha katika nyuso zao.
Tuiombee sana nchi yetu Tanzania.
Ndiyo, atapatiwa kiasi hicho hicho, labda kama akishabadilisha kozi na taarifa kufika HESLB anaweza kukata rufaa ya kuomba kuongezewa mkopo kulingana na ada ya hiyo kozi mpya.
Kila la kheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.