Poleni sana.
Haya mambo ya undugu (nepotism) kwenye taasisi hayafai.
Lakini kwa sasa hali siyo nzuri sana, fikiria hali ilivyo kwa viongozi wote wa serikali utakuta ni mkwe, mtoto, mjomba, shangazi, nk. Nani atamwajibisha nan?
Siku zote aliyejuu akianzisha njia wa chini yake hufuata, ndicho...
Pokeni sana.
Mkipata kipindupindu mtaletewa misaada ya dharura baada ya kuundwa kwa kamati nyingi za kuchunguza ili kubaini chanzo cha mlipuko wa kipindupindu.
Matatizo yetu ni ya kutengenezwa.
Wanasiasa husema "hawa madaktari tumewasomesha kwa kodi zetu", utafikiri daktari kasomeshwa bure kweli lakini ana mzigo wa kulipa mkopo wa HESLB ndiyo maana huishia kupata laki 8 mwisho wa mwezi.
Daktari aliyesoma kwa mkopo wa HESLB hudaiwa si chini ya million 25 ambayo hulipia kwa zaidi ya...
Mimi nililipia hati na kukamilisha taratibu zote halmashauri lakini mpaka sasa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa sijapatiwa hati, kila siku unaambiwa uje baada ya wiki, wiki mbili mara mwezi lakini ukienda hakuna kitu wala hakuna sababu za kueleweka toka kwa wahusika.
Inasikitisha na kuumiza sana...
Pole sana,
Suala hili liko chini ya wizara ya afya yenye waziri wake, sasa kwa nini huyo waziri asiingilie kati yeye badala ya waziri mkuu? Nafikiri waziri wa wizara husika ndiyo aingilie kati.
Pia kwenye barua ya tangazo (uliloambatanisha hapo juu) kuna namba na email iliyotolewa kwa ajili ya...
Hivi kwa nini watu wa sekta ya ardhi hawajali wateja wao? Wanapenda sana kuwazungusha wanaofika kwenye ofisi zao kwa masuala yanayohusu ardhi.
Mfano nimenunua kiwanja toka halmashauri kwa kufanya malipo yote ikiwemo gharama/fedha za kumilikishwa (hati ya kiwanja) lakini mpaka sasa ni zaidi ya...
Baadhi ya changamoto za sekta ya ardhi zinatengenezwa na watumishi wenyewe mfano kutopatiwa hati licha ya kukamilisha taratibu zote na kufuatilia kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Changamoto kama hii nayo ni ya kumsubiri waziri aje kuishughulikia kweli?
Yaani leo mwananchi akae chini aanze kuandaa...
Hivi kwa nini watu wa ardhi hawajali wateja wao? Wanapenda sana kuzungusha wanaofika kwenye ofisi zao kwa masuala yanayohusu ardhi.
Mfano nimenunua kiwanja toka halmashauri kwa kufanya malipo yote ikiwemo gharama/fedha za kumilikishwa (hati ya kiwanja) lakini mpaka sasa ni zaidi ya mwaka mmoja...
Dah! Inasikitisha na kufikirisha sana.
Pale viongozi wa serikali wanapoamua kupambana na wananchi wake mambo huwa magumu sana taifa.
Fikiria viongozi ambao kila zinapotoka sauti za kilio au malalamiko ya wananchi wake huzima kwa nguvu kubwa na kukejeli kwamba wanaolia au kulalamikia ni kikundi...
Usafiri wa boda boda umekuwa kipimbilio la vijana wengi kupata kipato.
Wengi wanaofeli shuleni na wale wanaohitimu na kukosa ajira hukimbilia kwenye shughuli hii ya kusafirisha watu na/au mizigo.
Usafiri wa boda boda una changamoto nyingi ambazo humpata mwendesha boda boda na abiria wake pia...
Leo tarehe 08.07.2026 shule nyingi zimefunguliwa.
Serikali imekuwa ikitoa matamko kwamba wanafunzi wasirudishwe nyumbani kwa sababu ya kutolipwa kwa michango yoyote shuleni.
Hata hivyo hali ni tofauti kwa shule ya Einoti secondary iliyopo kata ya Kisongo halmashauri ya Arusha ambapo wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.