Recent content by Dr PL

  1. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Juma Awso njoo Chato uone wananchi tunavyotaabika na shida ya maji

    Wapo wanaothubutu kufanya hivyo -kuchimba visima, kuweka hayo matenki nk, lakini hao hao serikali na hayo mamlaka ya mabonde huwajia kuwakamata, kuwatisha au kuwekea utaratibu mgumu sana.
  2. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Ilemela hatuna maji kwa wiki 2 sasa na tuko karibu na ziwa Viktoria

    Haya ni maajabu sana. Kipindi kile cha kampeni kila kona wimbo ulikuwa mmoja tu "hana deni, hatumdai, katimiza yote,,mara mitano tena" Leo hii ni vilio tu kila kona, kwani wale waliokuwa wakiimba nyimbo za "hana deni, katimiza yote....." wako wapi waje watuambie walikuwa wanamaanisha nini...
  3. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Kuongezeka kwa Watendaji wanaokaimu nafasi za uongozi katika Halmashauri, tatizo ni nini?

    Kuna wanaokaimu kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja lakini hawathibitishwi, wanaendelea kukaimu,,,yanashangaza
  4. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Kama anapata mshahara wake kila mwezi atafute mambo yake binafsi afanye wakati anasuburi kupangiwa kituo kipya...
  5. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo Interns BMH Yamekwama. Tunahitaji Msaada!

    Poleni sana,
  6. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Hoja yangu ilikuwa kwamba ni rahisi sana kupata taarifa (idadi) za ndoa za kidini zilizofungwa au kuvunjika nchini kwa sababu ya mfumo wake wa urasimishaji na utunzaji wa taarifa na kumbukumbu zake ambao haupo au kama upo sio lazima kuzingatiwa kwa ndoa za kimila. Ndiyo maana nikasema kwamba...
  7. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Mkuu naheshimu mawazo yako. Lakini siyo kwamba hizi ndoa za dini zinaonekana nyingi kuvunjika kwa sababu ya mfumo unaotumika kuzirasimisha zinapofungwa au zinapovunjika kuwa na mchakato mrefu na uwazi mkubwa? Ndoa nyingi za kimila zinafungwa hakuna mfumo wa lazima wa kurasimisha (kusajili nk)...
  8. Dr PL

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Utapeli katika kiwango cha juu sana hugharimu maisha ya watu. Hivi kwa nini hao wanaoitisha makongamano hayo wasiwatembelee watu hao vijijini na kuwasaidia huko huko badala ya kuwaingiza kwenye gharama na mateso ya kuja mjini?
  9. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Watanzania wanataka viongozi wa Serikali waishi maisha ya kimasikini wakidai Mwl Nyerere aliishi hivyo ingawa si kweli alikuwa masikini

    Hakuna raia anayetaka kiongozi aishi masikini. Watu wanachukizwa na viongozi ambao huchukua fedha za wananchi kufanyia mambo yao binafsi badala ya kutumika kwa ajili ya ustawi wao. Viongozi ambao huuwa raia wao ili waingie madarakani kwa manufaa yao kwa kuwapanga ndugu zao kwenye safu...
  10. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Patrobas Katambi: Tutachunguza clip ya Bodaboda kuvutana na Askari Polisi, haki itatendeka

    Kumbe na wao hudai haki kabla ya kuhukumiwa? Je wale wanaowateka na kuwaumiza/kuwauwa/kuwapoteza kwa nini wanahukumiwa bila haki? Leo wanadai haki, siyo amani. Kwa hiyo ni wazi bila haki hakuna amani. Kijana anadai haki yake hawezi kuwa na amani kama atanyang'anywa haki yake. Tutende haki.
  11. Dr PL

    JamiiForums Tanzania EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

    Inashangaza sana, Kwenye kupanda bei kiwango kilikuwa kikubwa sana , yaani kutoka elfu 2 hadi elfu 4. Kwenye kushuka sasa, kidogo kidogo sana, mwezi huu wanashusha kwa senti 2, kesho kwa shillingi 1.... Halafu kwa nini nchi kama Uganda bei ya mafuta kwao ni ndogo kuliko sisi? Upigaji.
  12. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Ni hadaa na giza tu, hakuna chochote cha maana. Kwani tangu kuanzishwa kwake mpaka leo kuna chochote cha kujivunia kama taifa kwamba kimetoka na hii hadaa ya kinachoitwa mwenge wa uhuru? Hakuna. Kuna siku hadaa hii itakoma na kupotea kabisa.
  13. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Eti kisa ni kinachoitwa mwenge wa uhuru? Hivi huu mwenge sijui wa uhuru una uhalisia wowote katika kutatua yale yote yanayonasibishwa nayo (kuondoa umasikini, kuleta matumaini, sijui kuzuia rushwa)? Ni miaka 60 sasa hii hadaa ya kinachoitwa mwenge wa uhuru ikifanywa lakini hakuna uhalisia...
Back
Top Bottom