Kwani kuna mkakati wowote wa kuwasaidia wale ambao wapo nchini na hawana makazi na mahitaji muhimu?
Kama tu waliopo nchini hawajasaidiwa kwa namna yoyote hao waliotoka Africa Kusini wataachwa wapambane na hali zao.
Mpaka sasa sielewi kinachofanyika kwa hiyo bima ya afya kwa wote.
Bado kuna baadhi ya watanzania wanapita mitaani na hata wengine kujitangaza kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuomba michango ya matibabu toka kwa wananchi.
Kama kweli serikali wamenuia kutoa bima ya afya kwa wote...
Ukitaka kuliendea jambo kaa utulie isikilize nafsi yako na moyo wako vitakwambia nini, ndipo ufanye maamuzi ya kuliendea.
Fanya kile ambacho moyo wako unapenda kufanya hata bila malipo.
Ukiendea kitu au jambo kwa sababu linalipa leo, kesho linaweza lisilipe kwa hiyo utaumia.
Tazama au jikite...
Hivi zile kampuni zinazomiliki na kuzalisha hivyo vileo alizokuwa anabugia na kuwasaidia kutangaza biashara/bidhaa zao hawajawahi kujitokeza kumpongeza?
Kama amepata matatizo ya kiafya nafikiri ni wakati muafaka kwa kampuni hizo kumsaidia kwa kuwa aliwasaidia kunywa na kutangaza bidhaa zao....
Sasa hivi washavurugwa, hakuna lolote la maendeleo na lenye faida kwa wananchi linalofanyika, viongozi wapo wamefura, wanapambana kwa ajili ya biashara zao, hilo liko wazi sana.
Ni vizuri kwamba umeripoti mitandaoni, mitandao ipo kusaidia wananchi kuibua maovu.
Naona baadhi ya wadau wanakuponda eti '"mbona hupigi kelele za mabilioni.."..hivi tunasahau kwamba elfu moja huzaa bilioni?
Kidogo kinachoibwa ndicho huzaa kikubwa, kwa hiyo ni lazima kuhoji au kukemea mianya...
Kwa sasa hakuna wa kuchukua hatua, watu (viongozi) wako kwa ajili ya mambo yao binafsi, hata matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi wao hutumia kama fursa ya kupiga na kibaya zaidi ni kwamba kuna wakati matatizo hutengenezwa ili tu kupata mwacha wa kupiga.
Pole sana,
Kabla ya kwenda kwenye usaili ni muhimu kufanya maandalizi na uchunguzi kidogo wa kampuni au taasisi husika ili ujue utaratibu wao kuendesha mambo ikiwemo uvaaji nk.
Siku hizi mitandao imejaa elimu kuhusu namna ya kujiandaa na kukabili usaili (interview) kwa hiyo jifunze humo na...
Kwenye hii nchi kuna mambo ya ajabu sana....
Ni juzi tu watu walikuwa wakiimba nyimbo za "hana deni,..."katimiza yote" ........ sijui "mitano tena "
Leo kila kona kilio, nyimbo tofauti zinaimbwa..."hakuna maji"...."hakuna umeme "......"barabara mbovu"....nk
Ni lazima tuwe wakweli na...
Ndiyo maana watumishi wengi wanaopangiwa vituo vya kazi vijijini hawakai huko, badala ya kuwekewa mazingira wezeshi au kupewa kipaumbele na motisha wanafanyiwa uhuni kama huu.
Pamoja na kuwa katika nyakati za upendeleo na upigaji hoja au tuhuma hii ingekuwa na mashiko sana kama ungeweka mfano halisi wa hao ambao hawana sifa lakini wameteuliwa kushika nafasi hizo.
Wanalalamikia nini?
Chukua hayo yanayolalamikiwa uje na mbinu au suluhisho.
Nchi hujengwa kwa kusikiliza na kutatua kero au malalamiko za wananchi, mipango na utekelezaji pia hutokana na malalamiko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.