Recent content by Dr PL

  1. Dr PL

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mamlaka zichunguze utendaji wa uongozi wa JKCI, kuna matumizi mabaya ya madaraka

    Poleni sana. Haya mambo ya undugu (nepotism) kwenye taasisi hayafai. Lakini kwa sasa hali siyo nzuri sana, fikiria hali ilivyo kwa viongozi wote wa serikali utakuta ni mkwe, mtoto, mjomba, shangazi, nk. Nani atamwajibisha nan? Siku zote aliyejuu akianzisha njia wa chini yake hufuata, ndicho...
  2. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi Paje hatuna sehemu za kutupa takataka wala huduma ya kulipia ya kuchukuliwa takataka

    Pokeni sana. Mkipata kipindupindu mtaletewa misaada ya dharura baada ya kuundwa kwa kamati nyingi za kuchunguza ili kubaini chanzo cha mlipuko wa kipindupindu. Matatizo yetu ni ya kutengenezwa.
  3. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Kuna siku shetani naye atajitokeza na kuanza kuwatishia watu kwamba siku moja watamkumbuka.
  4. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    Wanasiasa husema "hawa madaktari tumewasomesha kwa kodi zetu", utafikiri daktari kasomeshwa bure kweli lakini ana mzigo wa kulipa mkopo wa HESLB ndiyo maana huishia kupata laki 8 mwisho wa mwezi. Daktari aliyesoma kwa mkopo wa HESLB hudaiwa si chini ya million 25 ambayo hulipia kwa zaidi ya...
  5. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Niyegira: Kauli za viongozi wetu zinatushawishi tuwapinge badala ya kuwaunga mkono

    Mfano mwingine ni -"kifo ni kifo tu " 😢 😂
  6. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya ucheleweshaji wa maombi ya hati kwenye mfumo wa e-Ardhi Dodoma

    Mimi nililipia hati na kukamilisha taratibu zote halmashauri lakini mpaka sasa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa sijapatiwa hati, kila siku unaambiwa uje baada ya wiki, wiki mbili mara mwezi lakini ukienda hakuna kitu wala hakuna sababu za kueleweka toka kwa wahusika. Inasikitisha na kuumiza sana...
  7. Dr PL

    JamiiForums Tanzania KERO Kero kuhusu ufadhili wa masomo kwa watumishi wa afya kupitia mradi wa Beginning Fund mwaka wa fedha 2026/2027

    Pole sana, Suala hili liko chini ya wizara ya afya yenye waziri wake, sasa kwa nini huyo waziri asiingilie kati yeye badala ya waziri mkuu? Nafikiri waziri wa wizara husika ndiyo aingilie kati. Pia kwenye barua ya tangazo (uliloambatanisha hapo juu) kuna namba na email iliyotolewa kwa ajili ya...
  8. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa notisi zilizotolewa kwa vijiji vya Ololosokwan, Soitsambu, Enguserosambu, Arash na Losoito

    Hivi kwa nini watu wa sekta ya ardhi hawajali wateja wao? Wanapenda sana kuwazungusha wanaofika kwenye ofisi zao kwa masuala yanayohusu ardhi. Mfano nimenunua kiwanja toka halmashauri kwa kufanya malipo yote ikiwemo gharama/fedha za kumilikishwa (hati ya kiwanja) lakini mpaka sasa ni zaidi ya...
  9. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mmuya aanza ziara ya kikazi mkoani Mtwara

    Baadhi ya changamoto za sekta ya ardhi zinatengenezwa na watumishi wenyewe mfano kutopatiwa hati licha ya kukamilisha taratibu zote na kufuatilia kwa zaidi ya mwaka mmoja. Changamoto kama hii nayo ni ya kumsubiri waziri aje kuishughulikia kweli? Yaani leo mwananchi akae chini aanze kuandaa...
  10. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mmuya aanza ziara ya kikazi mkoani Mtwara

    Hivi kwa nini watu wa ardhi hawajali wateja wao? Wanapenda sana kuzungusha wanaofika kwenye ofisi zao kwa masuala yanayohusu ardhi. Mfano nimenunua kiwanja toka halmashauri kwa kufanya malipo yote ikiwemo gharama/fedha za kumilikishwa (hati ya kiwanja) lakini mpaka sasa ni zaidi ya mwaka mmoja...
  11. Dr PL

    JamiiForums Tanzania AFCON 2027: Taharuki za Kisiasa na Kijamii zinazojitokeza Tanzania zinaweza kuathirije fursa ya kuwa mwenyeji?

    Dah! Inasikitisha na kufikirisha sana. Pale viongozi wa serikali wanapoamua kupambana na wananchi wake mambo huwa magumu sana taifa. Fikiria viongozi ambao kila zinapotoka sauti za kilio au malalamiko ya wananchi wake huzima kwa nguvu kubwa na kukejeli kwamba wanaolia au kulalamikia ni kikundi...
  12. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mauaji holela ya waendesha boda boda:

    Usafiri wa boda boda umekuwa kipimbilio la vijana wengi kupata kipato. Wengi wanaofeli shuleni na wale wanaohitimu na kukosa ajira hukimbilia kwenye shughuli hii ya kusafirisha watu na/au mizigo. Usafiri wa boda boda una changamoto nyingi ambazo humpata mwendesha boda boda na abiria wake pia...
  13. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 Yaliyokubaliwa Katika Maridhiano ya Zanzibar

    Kwani wamekubaliana kuhusu nini hasa? Kwa sababu hii ni misingi ya kuzingatia kuhusu utekelezaji wa hayo makubaliano, hayo makubaliano ni yapi hasa?
  14. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Pole sana, Ni muhimu ukaonana na daktari kwa ajili ya ushauri, uchunguzi, vipimo na au kupatiwa matibabu ya changamoto hiyo. Kila la kheri.
  15. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Kero: Michango ya Taaluma na Ujenzi Einoti Secondary, wanafunzi warudishwa nyumbani

    Leo tarehe 08.07.2026 shule nyingi zimefunguliwa. Serikali imekuwa ikitoa matamko kwamba wanafunzi wasirudishwe nyumbani kwa sababu ya kutolipwa kwa michango yoyote shuleni. Hata hivyo hali ni tofauti kwa shule ya Einoti secondary iliyopo kata ya Kisongo halmashauri ya Arusha ambapo wanafunzi...
Back
Top Bottom