Kama kawaida michezo inaendelea...
Yale yale ya waumini kwenda kumshitaki kiongozi wao wa kiroho tena kwa kuandamana..... Leo wako wapi?
Hili nalo ni mwendelezo....mpangaji ni yule yule ,,,,anawatuma watu wake.
Ngoja tuone mwisho wake!
Tatizo wanatafuta sifa na kujipendekeza katika kila jambo ili waonekane wao ndiyo wanafanya...
Wanajiingiza ili wakishinda basi wao wameimbiwe mapambio.....
Wangeachwa tu wapambanie hilo kombe kama motisha pekee kwao, si kuingiza sijui nini....
Kila kitu lazima iwekewe siasa, wanasiasa...
Watu wanaendesha nchi kwa maslahi yao binafsi.
Katika nchi yetu bado vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga viko juu.
Mpaka sasa nchi hii imejaa madaktari bingwa na bingwa bobezi katika masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto.
Ni ajabu sana kumteua mtu ambaye si mtaalamu wala hajabobea...
Kwanza samahani mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa wala sina ndoto ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa.
Ninatoa tu maoni yangu kama raia wa kawaida.
Pili, unachosema kwamba hao sijui wa upinzani walishauriwa wakakataa ni kujaribu kuwatwishwa lawama ya mauaji ya raia...
Mkuu tatizo sio kujiuliza nini kingetokea kama wasingewaua watu.
Cha kujiuliza ni kwamba kwa nini hawakutaka kabisa kuwasikiliza wananchi kabla ya hiyo October 29?
Labda hawakutaka kuwasikiliza kwa sababu walijua wazi kwamba watawauwa tu.
Watu wengi walilalamika, wengine wakashauri na kuomba...
Nafsi zao hazitatulia wala kuwa na amani kamwe.
Yaani ukiona hivi ni wazi kwamba akili zao zinapingana na nafsi zao, kila mmoja amejaa migogoro ya ndani (internal conflicts) ambayo huleta hali ya kutoeleweka au kuwa na msimamo (yaani kuchanganyikiwa).
Njia pekee itakayowasaidia na kuziweka...
Ndiyo maana tulikuwa tunalalamika jukwaa hili (JF) kuminywa bila sababu. Tulikuwa tunalazimika kutumia njia mbadala kuingia humu.
Waliokuwa wanaizuia sijui wanapata faida gani. Fikiria leo haya malalamiko ya mdau yamejibiwa na hata wenyewe (walalamikiwa) wanasafishwa kama kweli mdau ndiyo...
Nenda hospital za serikali kuna madaktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT surgeons) naamini huko gharama ya operation hiyo itakuwa chini ya million 1
Kila la kheri.
Ukifanyiwa operation ya kuondoa tonsils (Tonsillectomy) hautakaa mwezi mzima kusubiri.
Mara nyingi wanaofanyiwa hiyo operation huruhusiwa baada ya saa 24 au 48 ya uangalizi na toka hapo wanaweza kuendelea na shughuli zao za kawaida baada ya siku 7.
Kwa hiyo hilo la kusubiri kwa muda hadi mwezi...
Duh hii hatari sana,
Sijajua kwenye mkataba wake wa kazi kwamba mwajiri wake hajali afya ya mtumishi wake?
Nafikiri sheria humtaka mwajiri kujali na kuheshimu afya za wafanya kazi wake.
Kwa sababu mfanyakazi akiwa mgonjwa hata uzalishaji wake kazini huwa ni duni.
Utaratibu wa kwenda...
Pole sana.
Kama daktari kakushauri ufanyiwe operation ni bora ukafanya hivyo.
Tatizo kwako hapo ni gharama ya hiyo operation, 1 million.
Ushauri: nafikiri unaweza kwenda kuonana na madaktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT surgeon) kwenye vituo vingine ambapo gharama ya operation hiyo ni...
Ndiyo, ni mojawapo ya viashiria, lakini ikiwa yenyewe tu haitoshi kuhitimisha kwamba ni miscarriage. Kwa hiyo ni muhimu akafika hospital kwa daktari kwa ajili ya uchunguzi na vipimo.
Kila la kheri.
Walikataa sawa lakini swali ni je walikataa wakiwa katika hali gani?
Kukataa kuingiliwa ni rahisi sana hasa pale ambapo wale wanaotawaliwa (wananchi) wanawaunga mkono viongozi walioko madarakani na pia kama viongozi hao wanajibu changamoto za wananchi kila zinapotokea.
Tuseme tu ukweli (bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.