Binafsi nimetafuta kiwanja wilaya moja mwaka jana January 2025. Nilioneshwa kiwanja nikalipia mwezi February na baadae mwezi May 2025 nililipia fedha kwa ajili ya kupatiwa hati ya umiliki.
Baada ya kulipia hati tuliambiwa kwamba itakuwa tayari ndani ya wiki mbili ambapo nilienda nikaambiwa...
Kuna vitu waliahidi kwamba watafanyia kazi na kukamilisha ndani ya siku 100 lakini sioni kama watatimiza kwani nguvu na macho yao yameelekezwa kuwinda wachache wanaoongea...
Pamoja na kupata madaraka kwa kutoa uhai na kumwaga damu bado kauli zao si za kujenga na kuliunganisha taifa kuwa moja...
Aliahidi kutimiza mambo mengi ndani ya siku 100, lakini sioni kama atatimiza.
Mpaka sasa hayupo kwenye focus ya kufanya yale aliyoahidi kutimiza ndani ya siku 100, badala yake naona wanapambana kuwafungulia kesi za uhaini raia walioandama.
Nilishangaa sana mwanasheria mkuu wa serikali mara tu...
Ndiyo, sura zao ni kama vile wapo kwenye msiba,, ni kama vile wanaomboleza wakati wapo kwenye tukio ambalo lingewafanya wajae nuru na furaha katika nyuso zao.
Tuiombee sana nchi yetu Tanzania.
Ndiyo, atapatiwa kiasi hicho hicho, labda kama akishabadilisha kozi na taarifa kufika HESLB anaweza kukata rufaa ya kuomba kuongezewa mkopo kulingana na ada ya hiyo kozi mpya.
Kila la kheri.
Haya yote waliambiwa kabla, tena mapema tu lakini walipuuza wakashupaza shingo zao.
Viongozi wa dini walioshauri kufanyike maridhiano kabla ya uchaguzi waliishia kutekwa au kushambuliwa (rejea kesi ya Father Charles Kitima, nk).
Wazee wastaafu kama jaji Warioba alishauri sana lakini walipuuza...
Kweli ni vyema angetazama upande wa pili, hasa pale inapotokea kwamba katumia zaidi ya kiwango chake cha mchango.
Hata hivyo kuna baadhi ya bima ambazo huweka kikomo cha gharama za matibabu kulingana na kiwango cha mchango wa muhusika. (Nafikiri hata hiyo bima inayolalamikiwa wana huo utaratibu...
Ni kweli haki inapopokwa basi kuna siku watu watadai kwa nguvu.
Hao vijana wameamua kutoka kupigania haki zao lakini wasingeharibu miundombinu na mali zote za kufuru za hao waliokuwa viongozi wao, wangeacha ili baadae zitaifishwe na kutumika kwa manufaa ya wengi.
Baada ya uharibifu huo wa...
Tunalipenda sana taifa letu Tanzania ndiyo maana tumekimbilia humu kwa sababu tuliamini na tunaamini hili jukwaa ni la kipekee katika kupaza sauti zetu za kulijenga taifa letu.
Haya yanayotokea ya kujaribu kutuziba midomo tusiongelee, tusijadili mambo muhimu ya ustawi wa taifa letu au hata...
Pole sana.
Kwa sasa hata hakuna wa kumwambia haya ya upigaji ili achukulie hatua.
Hata matendo na midomo yao hayakemei rushwa na upigaji unaoendelea.
Lakini usiogope sana kwa sababu yana mwisho, it's just a matter of time.
Akasome kile moyo wake unapenda.
Yeye ndoto yake ni kuwa nani?
Je anapenda kujua nini kuhusu hizo kozi ulizozitaja?
Ni vigumu kumshauri moja kwa moja asome kozi mojawapo kwa sababu hatujui yeye binafsi ana ndoto za kuwa nani, anapenda nini na kwenye hizo kozi anataka ushauri kuhusu nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.