Recent content by Dr PL

  1. Dr PL

    Wanaozuia mtandao mpaka sasa wamepata faida gani?

    Hakika, Mungu ndiye tumaini letu pekee!
  2. Dr PL

    Wanaozuia mtandao mpaka sasa wamepata faida gani?

    Tangu mwaka jana jukwaa hili lilizuiwa kwa muda wa siku 90 na TCRA. Tulipitia wakati mgumu sana kwa sababu hili jukwaa lina manufaa mengi sana hasa kwa ustawi wa taifa letu. Ni kupitia jukwaa hili ambapo wananchi huwasilisha kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili. Ni kupitia jukwaa hili...
  3. Dr PL

    Waziri Masauni awataka wanafunzi kutetea misingi ya Muungano

    Muungano uwe na serikali tatu basi, huu uliopo una changamoto na kasoro nyingi sana.
  4. Dr PL

    DOKEZO RTO Mwanza anaikosesha mapato Serikali kwa kutotoa CONTRAL NUMBER za malipo ya leseni

    Ukilinganisha utendaji wa watumishi wa serikali na private ni tofauti sana. Hawa wa serikali hawajali kukusanya na kuweka urahisi katika mapato bali hugeuka vikwazo. Wa private wanahakikisha mapato yanakusanywa kwa urahisi na uhakika. Watumishi wa private wanaamini kwamba bila kukusanya...
  5. Dr PL

    KERO Ninaponunua umeme na kukatwa 3% ya REA na 18% ya VAT si ni sawa na kulinipisha kodi mara 2 kwa kitu kilekile?

    Hao hao EWURA wana 1% kwenye bili ya maji. Hizi fedha zinaenda wapi? Bora basi wangebaki na hiyo 1% kwenye maji na si kukata kotekote.
  6. Dr PL

    Nina Maswali kuhusu Matibabu kwa kutumia Bima Ya Afya

    Ahsante sana chief, Afuatilie kwa sababu hata ukiangalia miongozo ya packages za NHIF inaonesha bronchoscopy inalipiwa kuanzia Level II hospital (hospital za mikoa) mpaka za zonal and national hospitals, NHIF wanalipa bronchoscopy Tsh.150,000/-
  7. Dr PL

    Msaada: Nimekuwa addicted na tadalafi (Viagra) kwa muda mrefu

    Pole sana. Chanzo cha tatizo lako la kupungua nguvu za kiume ni hilo tatizo la Thyroid hormones. Mojawapo ya madhara ya matatizo ya thyroid hormones ni kuathiri nguvu za kiume na uwezo wa kushika mimba kwa mwanamke. Kwa hiyo ulitakiwa utibiwe chanzo cha tatizo (thyroid hormones disorder) na...
  8. Dr PL

    KERO Kilio cha Watumishi wa Bugando: Changamoto, Unyanyasaji na Ukiukwaji wa Haki za Wafanyakazi

    Pole sana. Kuna mambo mengine kama hilo la utofauti wa malipo ya hela ya bima ni sawa kabisa, wala sio tatizo. Mara nyingi kuna utaratibu wa mgawanyo wa hela ya bima ambao kila taasisi hujiwekea na taasisi nyingi hufuata kigezo cha kiwango cha elimu, mwenye kiwango cha juu kiwango cha malipo...
  9. Dr PL

    Naibu Waziri wa Ardhi, Kaspar Mmuya: Inakuwaje kupata Hati ya Kiwanja iwe kama kutafuta Tanzanite au Dhahabu?

    Binafsi nimetafuta kiwanja wilaya moja mwaka jana January 2025. Nilioneshwa kiwanja nikalipia mwezi February na baadae mwezi May 2025 nililipia fedha kwa ajili ya kupatiwa hati ya umiliki. Baada ya kulipia hati tuliambiwa kwamba itakuwa tayari ndani ya wiki mbili ambapo nilienda nikaambiwa...
  10. Dr PL

    Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

    Kuna vitu waliahidi kwamba watafanyia kazi na kukamilisha ndani ya siku 100 lakini sioni kama watatimiza kwani nguvu na macho yao yameelekezwa kuwinda wachache wanaoongea... Pamoja na kupata madaraka kwa kutoa uhai na kumwaga damu bado kauli zao si za kujenga na kuliunganisha taifa kuwa moja...
  11. Dr PL

    PostGE2025 Siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan

    Aliahidi kutimiza mambo mengi ndani ya siku 100, lakini sioni kama atatimiza. Mpaka sasa hayupo kwenye focus ya kufanya yale aliyoahidi kutimiza ndani ya siku 100, badala yake naona wanapambana kuwafungulia kesi za uhaini raia walioandama. Nilishangaa sana mwanasheria mkuu wa serikali mara tu...
  12. Dr PL

    Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Je sisi wananchi tufanyaje nini ili nchi yetu Tanzania ibaki salama?
  13. Dr PL

    PostGE2025 Ni uapisho wa Waziri Mkuu, lakini sura nyingi zinaonekana zenye huzuni, nini kinawasuta kwenye nafsi zenu?

    Ndiyo, sura zao ni kama vile wapo kwenye msiba,, ni kama vile wanaomboleza wakati wapo kwenye tukio ambalo lingewafanya wajae nuru na furaha katika nyuso zao. Tuiombee sana nchi yetu Tanzania.
  14. Dr PL

    Kapata Chuo Dodoma Asome Accounts Akiwa Amesoma PCB –Ushauri

    Ndiyo, atapatiwa kiasi hicho hicho, labda kama akishabadilisha kozi na taarifa kufika HESLB anaweza kukata rufaa ya kuomba kuongezewa mkopo kulingana na ada ya hiyo kozi mpya. Kila la kheri.
Back
Top Bottom