Recent content by Dr PL

  1. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Wabunge fake : Nchimbi sasa anaitwa Yuda

    Kama kawaida michezo inaendelea... Yale yale ya waumini kwenda kumshitaki kiongozi wao wa kiroho tena kwa kuandamana..... Leo wako wapi? Hili nalo ni mwendelezo....mpangaji ni yule yule ,,,,anawatuma watu wake. Ngoja tuone mwisho wake!
  2. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Final Match | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Tatizo wanatafuta sifa na kujipendekeza katika kila jambo ili waonekane wao ndiyo wanafanya... Wanajiingiza ili wakishinda basi wao wameimbiwe mapambio..... Wangeachwa tu wapambanie hilo kombe kama motisha pekee kwao, si kuingiza sijui nini.... Kila kitu lazima iwekewe siasa, wanasiasa...
  3. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais Samia kwa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto

    Haijalishi kama amesomea au la, kikubwa amepatiwa nafasi ya kula na kufanya maisha yake yaende.
  4. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais Samia kwa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto

    Watu wanaendesha nchi kwa maslahi yao binafsi. Katika nchi yetu bado vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga viko juu. Mpaka sasa nchi hii imejaa madaktari bingwa na bingwa bobezi katika masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto. Ni ajabu sana kumteua mtu ambaye si mtaalamu wala hajabobea...
  5. Dr PL

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Sawa mkuu, Mungu aibariki nchi yetu.
  6. Dr PL

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Kwanza samahani mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa wala sina ndoto ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Ninatoa tu maoni yangu kama raia wa kawaida. Pili, unachosema kwamba hao sijui wa upinzani walishauriwa wakakataa ni kujaribu kuwatwishwa lawama ya mauaji ya raia...
  7. Dr PL

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Mkuu tatizo sio kujiuliza nini kingetokea kama wasingewaua watu. Cha kujiuliza ni kwamba kwa nini hawakutaka kabisa kuwasikiliza wananchi kabla ya hiyo October 29? Labda hawakutaka kuwasikiliza kwa sababu walijua wazi kwamba watawauwa tu. Watu wengi walilalamika, wengine wakashauri na kuomba...
  8. Dr PL

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Nafsi zao hazitatulia wala kuwa na amani kamwe. Yaani ukiona hivi ni wazi kwamba akili zao zinapingana na nafsi zao, kila mmoja amejaa migogoro ya ndani (internal conflicts) ambayo huleta hali ya kutoeleweka au kuwa na msimamo (yaani kuchanganyikiwa). Njia pekee itakayowasaidia na kuziweka...
  9. Dr PL

    JamiiForums Tanzania RC Mtanda: Anayedai kubomolewa kimakosa, kama amevunjiwa kimakosa atalipwa na Jiji, kama alikosea hiyo ni haki yake

    Ndiyo maana tulikuwa tunalalamika jukwaa hili (JF) kuminywa bila sababu. Tulikuwa tunalazimika kutumia njia mbadala kuingia humu. Waliokuwa wanaizuia sijui wanapata faida gani. Fikiria leo haya malalamiko ya mdau yamejibiwa na hata wenyewe (walalamikiwa) wanasafishwa kama kweli mdau ndiyo...
  10. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Nenda hospital za serikali kuna madaktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT surgeons) naamini huko gharama ya operation hiyo itakuwa chini ya million 1 Kila la kheri.
  11. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Ukifanyiwa operation ya kuondoa tonsils (Tonsillectomy) hautakaa mwezi mzima kusubiri. Mara nyingi wanaofanyiwa hiyo operation huruhusiwa baada ya saa 24 au 48 ya uangalizi na toka hapo wanaweza kuendelea na shughuli zao za kawaida baada ya siku 7. Kwa hiyo hilo la kusubiri kwa muda hadi mwezi...
  12. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Duh hii hatari sana, Sijajua kwenye mkataba wake wa kazi kwamba mwajiri wake hajali afya ya mtumishi wake? Nafikiri sheria humtaka mwajiri kujali na kuheshimu afya za wafanya kazi wake. Kwa sababu mfanyakazi akiwa mgonjwa hata uzalishaji wake kazini huwa ni duni. Utaratibu wa kwenda...
  13. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba ya tonsils sugu bila kufanyiwa operation

    Pole sana. Kama daktari kakushauri ufanyiwe operation ni bora ukafanya hivyo. Tatizo kwako hapo ni gharama ya hiyo operation, 1 million. Ushauri: nafikiri unaweza kwenda kuonana na madaktari bingwa wa koo, pua na masikio (ENT surgeon) kwenye vituo vingine ambapo gharama ya operation hiyo ni...
  14. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Ndiyo, ni mojawapo ya viashiria, lakini ikiwa yenyewe tu haitoshi kuhitimisha kwamba ni miscarriage. Kwa hiyo ni muhimu akafika hospital kwa daktari kwa ajili ya uchunguzi na vipimo. Kila la kheri.
  15. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Walikataa sawa lakini swali ni je walikataa wakiwa katika hali gani? Kukataa kuingiliwa ni rahisi sana hasa pale ambapo wale wanaotawaliwa (wananchi) wanawaunga mkono viongozi walioko madarakani na pia kama viongozi hao wanajibu changamoto za wananchi kila zinapotokea. Tuseme tu ukweli (bila...
Back
Top Bottom