mbona wakuu hamzungumzii nyumba takribani 20 za polisi waliojenga uraiani zilizochomwa moto baada ya kuporwa vitu vyote vya ndani siku ya tarehe 22 tuache unafiki<br>:
Ni kweli kabisa mkuu. nilishakumbana naye pale kisuma lodge mbagala sabasaba. alikuja kwa gear hiyo ya kuulizia chumba na akapelekwa kukikagua, akakikubali, walivyorudi reception akaomba apatiwe sh 50000 ili akachukue mzigo wake kwenye boda boda ambayo alidai ameikodi toka kibiti ambako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.