Recent content by Dr Mseti Ibrahim

  1. Dr Mseti Ibrahim

    TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

    kwakweli mimi sijaelewa mabadiliko ni nini ni kutoa taarifa kuwa kifurushi chako kijmekaribia kuisha au maana kuna voda wanakula GB1 kama wapo uswahilini sherehe kwa jirani dah. hapo nakumbuka badi sijaambiwa GB1 elftatu iv ninyi mnaijua elfatu ningi Buku 3 nzima elf tatu dah
  2. Dr Mseti Ibrahim

    Tunanunua Simu Mbovu!

    mimininayo cm ya X-TIGI JOYX7MAX imeharibika kioo chake tu basi ila inanikera ukubwa wake nauza boss 0623727260
  3. Dr Mseti Ibrahim

    Kwa wanao hitaji mafuta ya Mnyonyo

    Lita moja shingap
  4. Dr Mseti Ibrahim

    Mwanamke mtazamo!!

    Akina dada tambueni kuwa matarajio makubwa kwa wazaza wenu nikwamba mwanao aje ajenge familia bora baadae maana yake ninini MWANAMKE inatakiwa kuwa na MTAZAMO unao focus maisha yako ya baadae jenga MTAZAMO wako kwakufanya yafuatayo 1. Tambua wewe ni mama wa familia baadae. Ukisha litambua hilo...
  5. Dr Mseti Ibrahim

    Kiwanja kinauzwa wilayani Ilemela, Mwanza

    DILA COSTER, Bei Bei Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Dr Mseti Ibrahim

    Tunatengeneza Business Cards, Logo na Burner

    Tunatengeneza Business Card aina zote, logo, vitabu vya risiti, kava za vitabu na mabango makubwa ya biashara kisha unatumiwa kwenye email yako au WhatsApp popote ulipo itakufikia. Unatuma SMS kwa namba 0755750792 au 0623727260 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom