Ni sahihi kabisa mzazi kumuuzia mtoto kiwanja, yaani kama baba anashida ya pesa anataka kuuza mali yake na mtoto anaitaji kiwanja na pesa anayo kuna ubaya gani jamani!!!
Aristotle believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning: Hence it is evident that the state is a creation of nature, and that man is by nature a political animal. Hata uende wapi siasa ni kila kitu.
Kwa yeyote anayejua kuomba mwislamu au mkiristo tuwaombee hawa majaji wanaenda kufanya maamuzi au kutoa hukumu kwani wakisimama kwenye haki taifa letu kwa mara ya kwanza judiciary itavunja record kwa kusema mkataba ni Batali.. .
Nimefatilia mawakili walalamikaji na points zao zote against hoja za wanasheria wa serikali. Hata mtoto mdogo akipewa kufanya hukumu ya hii kesi ....jibu .... mkataba ni batili..au uwekwe mezani na pande zote mbili urekebishwe.
Adv. Livino: Wakati wakili wa serikali anawasilisha majibu yao alisema hatuwezi kupoteza Sovereignty kwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 1961. Namkumbusha kwamba huo mwaka wa 1961 Tanzania haikuwepo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.