Recent content by Dr.Mbura

  1. Dr.Mbura

    PostGE2025 Samia to Western Countries: Who are You? They think they are still our masters?

    Ni nani anamkumbuka Hugo Shavez wa Venezuela, alimwita Rais Bush shetani baada ya miezi sita hoi kitandani akawa anajuta baadae akafa!!!!!
  2. Dr.Mbura

    Iran yapatwa na Uhaba Mkali wa Maji: Hali isiyoshuhudiwa kabla

    Raia wote wanatakiwa wahame Tehran!!!!!!!
  3. Dr.Mbura

    Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

    Kidplomasia rais ana uwezo wa kumkataa balozi mteule bila hata kutoa maelezo kwanini
  4. Dr.Mbura

    Dar kuna joto wenzangu mnaishije?

    Nakuona hapa Riverside
  5. Dr.Mbura

    Je, ni sahihi mzazi kumuuzia mwanae kiwanja?

    Ni sahihi kabisa mzazi kumuuzia mtoto kiwanja, yaani kama baba anashida ya pesa anataka kuuza mali yake na mtoto anaitaji kiwanja na pesa anayo kuna ubaya gani jamani!!!
  6. Dr.Mbura

    Tanzania ina maslahi gani na vifo vya wapalestina.Hatujamrudisha balozi wetu. Hata maandamano nayo

    Fikiri mwenyewe walichokifanya Hamas tatehe 7, October waliwaacha watoto na kuuwa watu wazima na wanajeshi?
  7. Dr.Mbura

    Tanzania ina maslahi gani na vifo vya wapalestina.Hatujamrudisha balozi wetu. Hata maandamano nayo

    Tanzania ina maslahi gani na vifo wa Waisrael 1400 vya October 7,2023 hata hawajafunga ubalozi wa Palestine hapa Tanzania??
  8. Dr.Mbura

    Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

    Aristotle believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning: Hence it is evident that the state is a creation of nature, and that man is by nature a political animal. Hata uende wapi siasa ni kila kitu.
  9. Dr.Mbura

    Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Maendeleo gani?????
  10. Dr.Mbura

    Update kesi ya Bandari: Majibu ya mawakili wa wananchi, waleta maombi leo Julai 28, 2023

    Kwa yeyote anayejua kuomba mwislamu au mkiristo tuwaombee hawa majaji wanaenda kufanya maamuzi au kutoa hukumu kwani wakisimama kwenye haki taifa letu kwa mara ya kwanza judiciary itavunja record kwa kusema mkataba ni Batali.. .
  11. Dr.Mbura

    Update kesi ya Bandari: Majibu ya mawakili wa wananchi, waleta maombi leo Julai 28, 2023

    Nimefatilia mawakili walalamikaji na points zao zote against hoja za wanasheria wa serikali. Hata mtoto mdogo akipewa kufanya hukumu ya hii kesi ....jibu .... mkataba ni batili..au uwekwe mezani na pande zote mbili urekebishwe.
  12. Dr.Mbura

    Update kesi ya Bandari: Majibu ya mawakili wa wananchi, waleta maombi leo Julai 28, 2023

    Adv. Livino: Wakati wakili wa serikali anawasilisha majibu yao alisema hatuwezi kupoteza Sovereignty kwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 1961. Namkumbusha kwamba huo mwaka wa 1961 Tanzania haikuwepo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Back
Top Bottom