Recent content by Dr. Love Pimbi

  1. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Come on! Unataka KUBORESHA huku wewe Mwenyewe umeanza Kujitoa Kwa Mkopo? Kwa Taarifa yako Mkeo hatasubiri mpaka UMTOE kwa Mkopo, pindi atakapogundua kwamba Unatoka na Mkwe wa Rafiki yako basi yeye Mwenyewe atajipeleka kwa Mkopo tena inaweza isiwe kwa Rafiki yako Bali kwa Shamba Boy
  2. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Mkuu asante sana Jamaa nimempa ushauri very rational ameshia kuniita Foolish. Jamaa hajui tu Kumpenda Mkewe. Ukimpenda Mkeo atarudisha Upendo na Huo ndio MVUTO wenyewe. Tupe Mkeo Tumpende Mkuu HUTAKI sasa unataka nini
  3. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Mkuu Mkeo hawezi kuwa na mvuto tena so long uko naye na inaonekana umekosa skills za Kurudisha Mvuto wake. Kwa Sababu unasema bado unampenda Mkeo ila unaona kama vile hana Mvuto Nakushauri Mtoe kwa MKOPO kwa Wanaume wengine baada ya Mwaka mmoja utaanza tena Kugundua thamani ya Mke wako. We...
  4. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Mkuu wewe ukisema cha nini wenzako wanasema utakipata lini
  5. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Mkuu Nina Nia Njema Kabisa kwa sababu nimeelewa tatizo lako. Mkabidhi Mkeo kwa Rafiki yako then baada ya muda utatambua Thamani ya Mke wako pindi atakapoanza Kupendeza. Unaweza Kunikabidhi mimi Mkuu nakuhakikishia nitakurudishia Ukimhitaji tena
  6. Dr. Love Pimbi

    Mke wangu nimemchoka, nimeanza kutembea na mke wa rafiki yangu

    Nakushauri 1. Mbadilishane Mke na Rafiki yako. Mke wako Mpe Rafiki yako na wa Rafiki yako Mchukue wewe. 2. Baada ya Miaka Michache tena Utaanza Kutembea na Mke wa Rafiki yako ambaye sasa hivi ni Mkeo 3. Baadaye tena Mbadilishane na Rafiki yako
  7. Dr. Love Pimbi

    Nimeingia na Pombe Zangu humu leo.....!!!

    Hakina Mlevu hapa huyo ni Attention Seeker
  8. Dr. Love Pimbi

    Hakuna rafiki wala ndugu wa kweli duniani

    Wanasema Dunia Hadaa Ulimwengu Shujaa
  9. Dr. Love Pimbi

    Wanawake wote ni Mawifi, wote ni Mama Wakwe

    Kaunga Umeolewa? Kama umeolewa wewe unajichukuliaje? Unajiona kama Mke wa Mme wako au Wifi wa Mke wa Kaka yako? Unapojiweka katika hizo position Mbili Maisha au Matendo huwa yanabadilika au?
  10. Dr. Love Pimbi

    Wanawake wote ni Mawifi, wote ni Mama Wakwe

    Kuna Hii Hali imezoeleka sana kwamba Chanzo kikubwa cha Matatizo katika ndoa Nyingi ni Mawifi, Mama Wakwe. Sijawahi kusikia Mashemeji wakilalamikiwa au Baba wakwe wakilalamikiwa. Wanaolalamika wengi ni Wake ambao nao ni Mawifi ( kwa maana kaka zao nao wameoa). Tatizo ni nini hasa ninti...
  11. Dr. Love Pimbi

    Re:kumpa password..mupenzi

    Infact sioni tatizo na inaetegemea mlikuwaje kabla ya Kuoana au wakati Mapenzi yenu yanaanza Tatizo ni Pale Mnapokuwa kwenye mahusiano kwa Miaka mitano au Zaidi Mmoja wenu anaanza kuficha, kama mmeamua hivyo Tangu mko marafiki ni vizuri mkeaendelea hivyo kama kweli hamna mnaoficha.
  12. Dr. Love Pimbi

    Dr. Kigwangala: another Lucas Selelii

    Akapatane kwanza na mwenye Jina ( Hamisi Andrea ) ndiyo aje hapa
  13. Dr. Love Pimbi

    Are tall men more desirable??

    Hii Tafiti Inakiuka Katika ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania
  14. Dr. Love Pimbi

    Swaumu yanitesa!

    Inshallah Mnyaazi Mungu atakulinda, Bila shaka utapata Wasaa Mzuri wa Kuzisoma Hadithi za Mtume na Maswahaba wake
Back
Top Bottom