Recent content by Dr Chew Ing Gum

  1. D

    Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

    Ni vizuri pia kupima ukimwi na STIs nyingine, kwani hiyo michepuke pengine nayo inachepuka, pili hujui kama wife naye anachepuka.
  2. D

    Gym yenye bei affordable

    Kwanini Gym, wakati unaweza kujifua mwenyewe, Ukiamka pasha misuli moto- push ups 50-100, sit-ups 50, ruka kamba, kichura, nk nk. Kama mtu ulipitia jeshini, basi Gym watakusikia tu.
  3. D

    Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

    Mwambie aanze na utalii wa ndani kwanza. Kwa budget aliyonayo ataenda na familia yake Ngorongoro, Serengeti , Mikumi NK, na ataenjoy sana. Asisahau kwenda Zanzibar kuogela na dolphins.
  4. D

    Rais Magufuli: Diwani Athumani si tu ni Polisi bali ni Afisa wa Usalama wa Taifa

    Jamaa mzee wa kuropoka ropoka wakati mwingine. Yaani kama hana "kaba ya koo" vile.
  5. D

    Nimemnunulia Smart Phone ya laki Nne, cha kushangaza kila nikimpigia usiku yupo busy sana..

    Natumaini wazazi pia huwa unawakumbuka, hata kama wanajiweza hufarijika na ku appreciate zawadi. Huyu binti anamwingine ampendaye zaidi.Take your phone, give it to your mum or dad and move on.
  6. D

    Mpenzi aliye "busy" siku zote

    aggyjay , hamjawahi kutana, sasa alikutongozea wapi? Mitandaoni?
  7. D

    Mpenzi aliye "busy" siku zote

    Pengine mna shea hapo, ubize gani huo wa 24/24.7/7. Na wewe tafuta atakayekuliwaza kila siku, hapo itakuwa ngoma droo.
  8. D

    If you cheated, should you tell? Je, ukim-cheat utamwambia?

    Umwambie partner wako kuwa uli mcheat ili iweje? Itakusaidia nini wewe? na itamsaidia nini partner wako? Akishajua uli cheat mahusiano yenu yatapata faida gani? Tubu kwa muumba na kamwe usirudie tena, halafu songa mbele. Shaggy aliimba vizuri sana " It wasnt` me".
  9. D

    Ujerumani: Tundu Lissu afanya mahojiano na kituo cha utangazaji Deutsche Welle(DW)

    Duh huyu jamaa atakuwa shujaa sana kama ataamua kurudi TZ, kwani waliotaka kummaliza bado wapo huru na sidhani kama wanaona raha anawavyowavua taulo uani, wakati kuna kadamnasi kubwa sana hapo uani.
  10. D

    Geita: Mtemi azikwa na watu hai wawili

    Usikute ni trela tu ya bongo muvi. Kama ni kweli basi bado tupo nyuma sana. Hapa kuna mtu/watu wana kesi ya kujibu. La hasha! Sio wale wanaosota Segerea.
Back
Top Bottom