Kwanini Gym, wakati unaweza kujifua mwenyewe, Ukiamka pasha misuli moto- push ups 50-100, sit-ups 50, ruka kamba, kichura, nk nk. Kama mtu ulipitia jeshini, basi Gym watakusikia tu.
Mwambie aanze na utalii wa ndani kwanza. Kwa budget aliyonayo ataenda na familia yake Ngorongoro, Serengeti , Mikumi NK, na ataenjoy sana. Asisahau kwenda Zanzibar kuogela na dolphins.
Natumaini wazazi pia huwa unawakumbuka, hata kama wanajiweza hufarijika na ku appreciate zawadi. Huyu binti anamwingine ampendaye zaidi.Take your phone, give it to your mum or dad and move on.
Duh huyu jamaa atakuwa shujaa sana kama ataamua kurudi TZ, kwani waliotaka kummaliza bado wapo huru na sidhani kama wanaona raha anawavyowavua taulo uani, wakati kuna kadamnasi kubwa sana hapo uani.
Usikute ni trela tu ya bongo muvi. Kama ni kweli basi bado tupo nyuma sana. Hapa kuna mtu/watu wana kesi ya kujibu. La hasha! Sio wale wanaosota Segerea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.