Recent content by dr.bleeder

  1. D

    Mkuu wa Wilaya Rufiji ampiga kibao Mwenyekiti wa kijiji mbele ya wananchi

    Jinsi mfalme alivyo ndivyo watu wake walivyo
  2. D

    Ukweli ni huu, kwa mbinu hizi upinzani unaenda kuimarika mara dufu

    Fedha za maendeleo zinatumika kununua wapinzani, shame on U CCM
  3. D

    ‪Rais Magufuli: Wakuu wa Mikoa wengine jifunzeni kwa Makonda. Tanzanite imeongezeka mara 30... Sijaja kuuza sura!‬

    Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kufanya kinga yake na huku moyoni amemwacha Mungu. IPO SIKU ATAJUTIA
  4. D

    Makao Makuu CHADEMA: Polisi wavamia na kukamata Wanachama waliovalia T-shirt za "Pray for Lissu"

    Hawana akili, maombi ni swala la kiroho, hata ukiwakamata huwezi kuzuia maombi maana wataendelea kuombea huko huko selo
  5. D

    Inawezekanaje kutumia milioni kumi kwa siku moja kwa matibabu ya Lisu?

    Mnafiki mkubwa wewe! ! Mambo ya Lissu yanayohusu nini wewe, kama huwezi kuchangia kaa kimya
  6. D

    Hospitali ya KCMC yakumbwa na tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha

    Hiyo Hospitali ni balaa kwa Ufisadi. Sijapata kaona. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. D

    CHADEMA yasema haina imani na Polisi na Serikali sakata la Lissu, yataka wapelelezi huru kutoka nje

    Heri kufa ukitetea haki kuliko kubariki ushetani Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    Jinsi Vimbunga/Dhoruba (Hurricanes/Storm) vinavyopewa Majina

    Nashukuru mkuu, hili ndio lilikua swali langu kwa muda mrefu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    Kwanini CHADEMA inachangisha hela ya matibabu ya Lissu?

    Stupid Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Msaada wa pikipiki nzuri

    Zote zinafaa tu. Lakini TVS inapaa zaidi kwa matumizi binafsi. Kwa kuwa bodaboda wengi bado hawajazivamia sana Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Tafsiri Ya Mahakama Kuu Kenya Kutangaza Uchaguzi Mkuu Kenya Ni Batili..

    Chezea The Hague wewe,Uhuru hawezi kuleta ngebe tena maana nakumbuka yaliyotaka kumpata. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. D

    Msaada wa pikipiki nzuri

    Inategemea na bajeti yako, unashilingi ngapi? Lakini nijuavyo kwa barabara ambayo siyo rafiki na ya vumbi, pikipiki nzuri inatakiwa iwe sport motorcycle . na siyo boxer au TVS. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. D

    Maoni yangu: Lissu aongezewe ulinzi mkali, ni hazina kwa taifa

    ZAB 127: 1-2 Bwana asipoulinda mji wakeshao wafanya kazi bure. ........ Sent using Jamii Forums mobile app
  14. D

    Tundu Lissu: Bila ma-DC na ma-OCD, CCM ni kama maji ya kunawa

    Bakiza akili za kwenda msalani tuu basi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom