Recent content by Dr.adams faida

  1. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi: Pharmacist / Pharmaceutical dispenser

    Wakuu nashukuru sana nilimpata vijana wanne hivyo wawili wapo dar wawili wapo mwanza na wameanza kazi tayari 🤝🤝
  2. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi: Pharmacist / Pharmaceutical dispenser

    TANGAZO LA KAZI: PHARMACIST / PHARMACEUTICAL DISPENSER Tunatafuta mtu mwenye ujuzi, uadilifu, na uzoefu katika fani ya pharmacy ili kusimamia na kuendesha pharmacy yetu kwa weledi wa hali ya juu. Sifa zinazohitajika: Awe amesoma Pharmacy au Pharmaceutical Dispensing kutoka chuo kinachotambulika...
  3. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Pesa haishindwi kitu chief
  4. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 George: Nilipigwa risasi Oktoba 29, 2025 nikapoteza mguu

    Huwezi kupinga namna hii...........
  5. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Watanzania sasa huku tulikofika ni pabaya...

    Watoe namba mkuu tuanze donation
  6. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    Tumia ROAMLESS APP boss hata kama simu haina lain kikubwa simu yako iwe inasupport eSIM unapata network bila tatzo
  7. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    ROAMLESS APP hii unatumia internet hata kama huna sim card
  8. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania GE2025 ICC toeni arrest warrant ya huyu mtu

    Mkuu nascan vipi nikajionee
  9. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Joyce Banda!

    Dah 😂
  10. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Sina shaka na uzalendo wa CDF General Jacob Mkunda na JWTZ yake

    Speech zote za Jana ni MTEGO mkali kwa mtawala wanataka wajue baada ya hizi speech mbili atabaki upande gani either upande wa wahuni or upande wetu wananchi...(Tunataka mabadiliko/maridhiano/Uchaguzi wa haki/ katiba mpya/Demokrasia ya kweli siyo uhuni wanaofanyiwa chadema kila uchwao na serikali...
  11. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

    Oyaa bado makala kaukimbia ulingo
  12. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    Kwahiyo ni lini ndugu zako hawatakuja hiyo siku nafikiri unaijua umekuja kutuchora tu hapa... Bikra ya kusimuliwa nawe unakuja kutusimulia
  13. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    Unasumbuliwa na utoto ukikua utaacha huu ujinga kwa hiyo we ulitakaje maana unashauriwa unang'ang'ana na yako
  14. Dr.adams faida

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    We ulimkagua ? Now days bikra inakaguliwa na mjegejo
Back
Top Bottom