Recent content by Dr.adams faida

  1. Dr.adams faida

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Pesa haishindwi kitu chief
  2. Dr.adams faida

    PostGE2025 George: Nilipigwa risasi Oktoba 29, 2025 nikapoteza mguu

    Huwezi kupinga namna hii...........
  3. Dr.adams faida

    Watanzania sasa huku tulikofika ni pabaya...

    Watoe namba mkuu tuanze donation
  4. Dr.adams faida

    Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    Tumia ROAMLESS APP boss hata kama simu haina lain kikubwa simu yako iwe inasupport eSIM unapata network bila tatzo
  5. Dr.adams faida

    Hii Ndiyo Ilikuwa Msaada na VPN Haikuwa Msaada?

    ROAMLESS APP hii unatumia internet hata kama huna sim card
  6. Dr.adams faida

    GE2025 ICC toeni arrest warrant ya huyu mtu

    Mkuu nascan vipi nikajionee
  7. Dr.adams faida

    Joyce Banda!

    Dah 😂
  8. Dr.adams faida

    Sina shaka na uzalendo wa CDF General Jacob Mkunda na JWTZ yake

    Speech zote za Jana ni MTEGO mkali kwa mtawala wanataka wajue baada ya hizi speech mbili atabaki upande gani either upande wa wahuni or upande wetu wananchi...(Tunataka mabadiliko/maridhiano/Uchaguzi wa haki/ katiba mpya/Demokrasia ya kweli siyo uhuni wanaofanyiwa chadema kila uchwao na serikali...
  9. Dr.adams faida

    Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    Kwahiyo ni lini ndugu zako hawatakuja hiyo siku nafikiri unaijua umekuja kutuchora tu hapa... Bikra ya kusimuliwa nawe unakuja kutusimulia
  10. Dr.adams faida

    Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    Unasumbuliwa na utoto ukikua utaacha huu ujinga kwa hiyo we ulitakaje maana unashauriwa unang'ang'ana na yako
  11. Dr.adams faida

    Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    We ulimkagua ? Now days bikra inakaguliwa na mjegejo
  12. Dr.adams faida

    Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    Huoni utakuwa umefanya jambo la heshima ukifanya hivyo? Kwani hao ndugu zako hawajui alichokifata kwako? Kwanza Una umri gani?
  13. Dr.adams faida

    Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndoa?

    We umejuaje ni bikra ilihali hujamula? Tena unaongea hivyo mbele ya wazee wako! Mwite Leo geto uichape lasivyo wenzako watamuwahi
Back
Top Bottom