Speech zote za Jana ni MTEGO mkali kwa mtawala wanataka wajue baada ya hizi speech mbili atabaki upande gani either upande wa wahuni or upande wetu wananchi...(Tunataka mabadiliko/maridhiano/Uchaguzi wa haki/ katiba mpya/Demokrasia ya kweli siyo uhuni wanaofanyiwa chadema kila uchwao na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.