Recent content by Dr Adam Francis

  1. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Bila CCM madhubuti, Tanzania itayumba

    IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI Imani ya Chama Cha Mapinduzi imejengwa katika misingi mikuu mitatu: 1. Binadamu wote ni sawa. 2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake. 3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru. AHADI ZA...
  2. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Judge not, that ye be not judged
  3. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Kwa taarifa zilizopo maambukizi yameongezeka hivi karibuni. Leo nimemsikia mkuu wa wilaya ya karatu akilizungumzia hili kwa wilaya yake. Kipekee amesisitiza halmashauri yake kuongeza mabango ya kampeni ya kujikinga na UKIMWI. Hata hivyo, kampeni za kujikinga na UKIMWI zinapaswa kwenda sambamba...
  4. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Zanzibar, leo Agosti 11, 2026

    Hatua nzuri sana. Itasaidia kupunguza joto la uvumi kuwa Rais na Makamu wake hawaelewani.
  5. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Hatua nzuri sana katika kujenga utengamano wa kitaifa, Hongereni sana viongozi wetu.
  6. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mo dewiji, nakuambia leo hii Wewe hawezi kubeba ubingwa dhidi ya Yanga

    Kitu pekee Mo anachoharibu nikutaka kuwapoka wananchi umiliki wa Simba. Hizi Simba na Yanga ni timu za wananchi, miaka yote zimeendeshwa hivyo. Sasa yeye anataka Simba iwe mali yake kama Azama inavyomilikiwa na Bakhesa. Jamaa angewa muungwana tu kama GSM, achukue 49% atulie, maisha yaendelee...
  7. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Na ww kuwa Doctor kama rahisi, halafu sio Doctor tu, kafanye na specialization ya Internal medicine uwe Physician. Na hakikisha secondary school ulisoma shule za watoto wenye vipaji maalumu kabla ya kuja hapa kueneza chuki zako dhidi ya nchi yetu. Hapo ndio nitajua naongea na mtu wa caliber yangu
  8. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Wewe jamaa huoni zuri hata moja kwenye nchi yetu? Ingekuwa tunazungumzia siasa ningeelewa kuwa labda elements za upinzani ndio zinakufanya upinge. Sasa hadi vilabu vyetu vya mpira huvitaki, hii sio hali ya kawaida. Jitathmini
  9. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Mtu chake! Acha tuendelee kuzipa support, kuna siku zitatuletea makombe.
  10. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Tunapozungumzia michezo, hatuwezi kuachana na siasa kidogo?
  11. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Huo sindio utani wa jadi wenyewe? Haiondoi ukweli kwamba Simba na Yanga ndio timu mbili zinaufanya mpira wa Tanzania uwe na radha hii uliyonayo.
  12. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Kama kuna tukio moja kubwa linalowakutanisha watanzania wengi kwa mara moja, basi tukio hilo ni Derby ya Kariakoo. Hizi klabu mbili zinawaunganisha watanzania nje ya mipaka ya itikadi, dini, kabila, jinsia, rika n.k. My fair assessment is, hizi timu zinamchango mkubwa mno kujenga umoja wa...
  13. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mwanri: Rais Samia songa mbele usiwe na wasiwasi, Watanzania nchi nzima wako nyuma yako

    Mzee Mwanri ni fundi sana wa siasa za majukwaani. Ana mvuto wa aina yake anapohutubia. Atatusaidia kukiimarisha chama.
  14. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Kitendo hiki hakikubaliki kwa yeyote anayeamini kwenye utu na haki za binadamu. Hata hivyo tusiwe wepesi kuhukumu na kubashiri washukiwa. Haya ni maisha na lolote laweza kuwa limetokea. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitusaidie kufanya uchunguzi na wote watakaobainika kuhusika na hayo...
  15. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Comrade ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri. Wakati mwingine kutokuwepo kwa taarifa sahihi kunatoa uwanja wa upotoshaji. Kwasasa tayari kuna bomba la mafuta kutoka Uganda-Tanga. TRC wameshaanza ukarabati mkubwa wa reli ya Tanga-Arusha, ambayo tayari ipo kwenye mpango (ingawa ni wa baadaye)...
Back
Top Bottom