Unapo omba msamaha, ikukumbushe kuwa, waliokukosea katika makosa yao, nao wanastahili kusamehewa; usiwahukumu!
Unapo omba msaada, ikukumbushe pia wanaoshindwa, katika udhaifu wao wanastahili huruma; Usiwadharau!
Unapo omba kusitiriwa, ikukumbushe pia walio kwenye fedheha, katika aibu zao, nao...