IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
Imani ya Chama Cha Mapinduzi imejengwa katika misingi mikuu mitatu:
1. Binadamu wote ni sawa.
2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.
AHADI ZA...
Kwa taarifa zilizopo maambukizi yameongezeka hivi karibuni. Leo nimemsikia mkuu wa wilaya ya karatu akilizungumzia hili kwa wilaya yake. Kipekee amesisitiza halmashauri yake kuongeza mabango ya kampeni ya kujikinga na UKIMWI.
Hata hivyo, kampeni za kujikinga na UKIMWI zinapaswa kwenda sambamba...
Kitu pekee Mo anachoharibu nikutaka kuwapoka wananchi umiliki wa Simba. Hizi Simba na Yanga ni timu za wananchi, miaka yote zimeendeshwa hivyo. Sasa yeye anataka Simba iwe mali yake kama Azama inavyomilikiwa na Bakhesa. Jamaa angewa muungwana tu kama GSM, achukue 49% atulie, maisha yaendelee...
Na ww kuwa Doctor kama rahisi, halafu sio Doctor tu, kafanye na specialization ya Internal medicine uwe Physician. Na hakikisha secondary school ulisoma shule za watoto wenye vipaji maalumu kabla ya kuja hapa kueneza chuki zako dhidi ya nchi yetu. Hapo ndio nitajua naongea na mtu wa caliber yangu
Wewe jamaa huoni zuri hata moja kwenye nchi yetu? Ingekuwa tunazungumzia siasa ningeelewa kuwa labda elements za upinzani ndio zinakufanya upinge. Sasa hadi vilabu vyetu vya mpira huvitaki, hii sio hali ya kawaida. Jitathmini
Kama kuna tukio moja kubwa linalowakutanisha watanzania wengi kwa mara moja, basi tukio hilo ni Derby ya Kariakoo.
Hizi klabu mbili zinawaunganisha watanzania nje ya mipaka ya itikadi, dini, kabila, jinsia, rika n.k. My fair assessment is, hizi timu zinamchango mkubwa mno kujenga umoja wa...
Kitendo hiki hakikubaliki kwa yeyote anayeamini kwenye utu na haki za binadamu. Hata hivyo tusiwe wepesi kuhukumu na kubashiri washukiwa. Haya ni maisha na lolote laweza kuwa limetokea. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitusaidie kufanya uchunguzi na wote watakaobainika kuhusika na hayo...
Comrade ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri. Wakati mwingine kutokuwepo kwa taarifa sahihi kunatoa uwanja wa upotoshaji.
Kwasasa tayari kuna bomba la mafuta kutoka Uganda-Tanga. TRC wameshaanza ukarabati mkubwa wa reli ya Tanga-Arusha, ambayo tayari ipo kwenye mpango (ingawa ni wa baadaye)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.