Recent content by Dr Adam Francis

  1. Dr Adam Francis

    Alcohol is brewed in hell

    This is a metaphorical language iluminating the subtle destruction of lives and families enabled and propagated by alcoholism.
  2. Dr Adam Francis

    Alcohol is brewed in hell

    https://vt.tiktok.com/ZSuX1VrUX/
  3. Dr Adam Francis

    ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Hili ndio somo kubwa zaidi nililolipata leo. Pombe zimeumiza na kukatisha maisha ya watu wengi sana kuliko tunavyoweza kukiri. Ni huzuni na bahati mbaya kuwa ukweli huu hausemwi wazi.
  4. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Injili sharti ihubiriwe kwa kila kiumbe. Hata hivyo tunaowajibu wa kulitekeleza hili kwa moyo wa upendo, bila kuchanganya neno la Mungu na agenda binafsi zisikuwa za kiroho.
  5. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Kijana! Neno la Mungu unaliita saa mbovu kwasababu tu halikutolewa katika context unayoitaka ww?
  6. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Hekima ni pamoja na kujua lipi linawezekana na lipi haliwezekani. Blind optimism is foolishness and costly. By the way, legal framework ya nchi yetu, is such that, national consensus for national leadership prospects is declared by NEC after election. NEC wamesha mtangaza Samia na kaapishwa...
  7. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Rais, akisha apishwa ni alama ya Taifa na kitovu cha utulivu wa kisiasa wa nchi yoyote duniani. Kwa tulipo sasa, kumhujumu Samia, ni kuihujumu Tanzania. Bila kujali, unampenda au humpendi, kama unaijali nchi inayoitwa Tanzania, unawajibu wa kumheshimu na kulinda, kwa maslahi ya nchi yako. Ni...
  8. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Kwani kutaka kudumisha amani, utulivu na utengamano ni kutokujali vifo vilivyotokea October 29?
  9. Dr Adam Francis

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Kusema ukweli nililiandika chapisho hili October 13, ikiwa ni mwendelezo wa kawaida yangu ya kuandika masomo mbalimbali ya biblia. Sikujua hata kidogo kuwa siku sita baadaye yangetokea yaliyotokea. Kwahiyo chapisho langu kwavyovyote vile lisichukuliwe kama ni maoni mahususi kwa yaliyotokea...
  10. Dr Adam Francis

    Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Andiko langu nililiandika October 13, 2025. Wakati huo sikujua hata kama siku ya uchaguzi October 29, yangetokea yaliyotokea. Kama umefuatilia machapisho yangu, mara nyingi nimekuwa nikichapisha masomo ya biblia. Kwahiyo, kwavyovyote vile, lisichukuliwe kuwa ni vijembe dhidi ya Mh. Rais na...
  11. Dr Adam Francis

    OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

    Technology sio kitu cha kuchezea, kumbe mwamba alikuwa kwenye rada za great thinkers hata kabla ya 2015, and this is 2026! Lo!
  12. Dr Adam Francis

    Uholela wa NGONO, POMBE NA MUZIKI: Ndilo janga kubwa zaidi la kizazi chetu"

    Kwa wakubwa wetu waliozaliwa miaka ya 1960-1970, maarufu kama baby boomers, watakuwa na kumbukumbu nzuri ya usemi maarufu wa enzi hizo, "Sex, drugs, rock and roll" ambao kimsingi ulikuwa ni wimbo wa Ian Durry wa mwaka 1977. "Sex, drugs, rock and roll" haukuwa wimbo au usemi tu wa wakati huo...
  13. Dr Adam Francis

    Uchumi wa Tanzania unaangamia kwa siasa za uchawa

    Itoshe kusema tumekusikia!
  14. Dr Adam Francis

    Uchumi wa Tanzania unaangamia kwa siasa za uchawa

    Itoshe kusema tumekusikia!
  15. Dr Adam Francis

    2026: Ikukumbushe

    Unapo omba msamaha, ikukumbushe kuwa, waliokukosea katika makosa yao, nao wanastahili kusamehewa; usiwahukumu! Unapo omba msaada, ikukumbushe pia wanaoshindwa, katika udhaifu wao wanastahili huruma; Usiwadharau! Unapo omba kusitiriwa, ikukumbushe pia walio kwenye fedheha, katika aibu zao, nao...
Back
Top Bottom