Recent content by dpluss

  1. dpluss

    JamiiForums Tanzania Utatu ni wa majukumu si mamlaka. Yesu ni Mungu lakini si Mkuu kuliko Baba

    Napenda kuchangia kama ifuatavyo. Kwanza inabidi tujue Mungu ni Roho hivyo roho haina umbo linaloweza kuonekana kwa Binadamu zaidi sana Mungu hua anajifunua kwa umbo ambalo anaona ataweza kuonekana kwa macho ya binadamu Jinsi Mungu alivyo jifunua kwa wanadamu haya ni baadhi ya matukio kwenye...
  2. dpluss

    JamiiForums Tanzania Maandamano makubwa ya watu zaidi ya 180,000 yafanyika Paris ya kupinga chuki zozote dhidi ya Wayahudi

    Waislam wame ng'ang'ania eti wayahudi hawautambui ukristo nikwel hawautambui Ila hiyo haiondoi ukweli kua Mungu ameagiza tuubariki uzao wa ibrahimu na pia atakae Ulaani atalaaniwa ndio maana tunasimama na Israel Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
  3. dpluss

    JamiiForums Tanzania Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

    Vip kuhusu waisrael weusi unasemaje nao Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
  4. dpluss

    JamiiForums Tanzania Hizbullah yaishambulia Israel

    Unapost za kinazi sana mkuu
  5. dpluss

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Hizi conspiracy za kuanzishwa kwa Hamas hazifanyi isionekane ni kikundi cha kigaidi Wacha wavune walicho panda
  6. dpluss

    JamiiForums Tanzania Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Nna sumsung m13 vip naweza ku install G camera?
  7. dpluss

    JamiiForums Tanzania Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

    Ulijuaje Kama alie kutokea Ni Malaika isije kua umetokewa na majini mzee
  8. dpluss

    JamiiForums Tanzania Nandy athibitisha uhusiano wake na Ruge

    Naona ni kawaida tu kwa mwanaume rijali kuwana mtoto Kama huyo pia jichukulie wew unge pata nafasi kama aliokua nayo ruge umashuhuri na fedha pia ...halafu totoz zikawa zina jileta ungeziacha kwel[emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. dpluss

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanapenda ma handsome

    Pesa ndo kila kitu budaah Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom