Wadau mimi nilikuwa muhudumu wa Afya (medical attendant) niliacha kazi mwaka 2011, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi baada ya kunyimwa ruhusa yakwenda kusoma. Nikaenda kusoma fani nyingine (Procurement)
Saa hizi nahitaji tena karudi kufanya kazi Serikalini je ntapokelewa...
Hii laptop tatizo lake ni kwamba ikisha waka baada ya sekunde chache ina badilika nakudisplay mwanga tofautitofauti kama slide halafu inajigawa Mara mbili kwahiyo siwezi kufanya chochote some time hata inapowaka ile logo ya window inaonekana twice kwa kufifia
Niliwai kuwa na simu kama hiyo pia ilikuwa na tatizo hilohilo niliangaika sana mwisho nikawasiliana na watu wa Voda wakaniambia niwasomee IMEI za cm nikawapa halafu wakaniambia hiyo cm haiwezi soma 3G.
Nina Tsh.200,000 nataka kununua Huawei y530 siitaki ile ya Tigo lkn kinacho niogopesha zaidi ni kubakikizwa kama walivyo nishkisha S4 clone, naijuaje ya ukweli? au nichukue hata tecno P5 tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.