Tz imechafuka sana kwa huu uchaguzi.yako mambo hatuta pata tena coz huu uchaguzi.kwa mfano tulikua tunapewa nafasi mbalimbali kimataifa ila sasa wataaza kutuacha.
ICC ikisibitisha italeta aibu kubwa kwa raisi akiwa anga za kimataifa.
Ona kinacho tokea znz ni aibu tu,ikumbukwe tulipata uhuru...
Mimi nilimpa lowasa kura yangu na nishabiki wa chadema sana tu.ila swali nililojiuliza nikua hivi lowasa angeshinda uraisi kweli angeendesha inchi huku chadema wana viti vya ubunge 34.hiliswali limekua gumu sana. But ukweli nikua tumerudi nyuma hatuna moja kwa kuchagua mafisiem
Uchaguzi unakwisha pale anapopatikana mshindi,sasa baada ya magufuri kutangazwa mshindi! Nauliza ulitaka ITV wachambue nini zaidi wakati kazi waliyo kua wanafanya imekwisha.
ITv haijakaa kisiasa na hawana haja kujipendekeza kwa mtu wao wanafanya kazi ya kuhabarisha uma.
Nasiyo ushabiki.harafu...
Baada ya magufuri kushinda uraisi .serikali imesema wanataka kufanya biashara ya mkaa kua rasmi.hivyo kuanzia sasa wauza mkaaa watakua wanalipa kodi source channel 5
Zec haijasema nini sababu ya kupigana kwa wajumbe wake
pia kimetokea nini mpaka sababu hizi tisa zikagunduliwa katikati ya usomaji wa matokeo?
Tamko la zec limekuja baada ya viongozi wastaafu kwenda znz hapa kunanini.
Kuna jambo baya sana linajongea tz.mungu tusaidie.hivi hata jaji haoni aibu kusoma matokeo mabovu kwa uma,ujue kuna mguu wa kuku kisogoni mwake,hana la kufanya ni kuokoa maisha yake tu.
Nacho shangaa ni uwezo alionao lowasa kwani kichwa chake kimeumbwaje maana inapotokea kama anashindwa basi linatokea jambo ambalo linaleta matumaini tena kwake.ngoja tuone anavyo cheza huu mchezo.kama sio kipaji basi ni mungu maana kilicho tokea znz kinaleta ka-uhai fulani hivi. Hebu angalia...
rasasas tatizo nikua matokeo ya jimboni tunayo maana yamebandikwa ila ukifananisha na nec unapata ukakasi wa tofauti iliyopo sasa sijui tatizo liko wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.