Wanategemea watalii kwa99% cruise ships zinazo tia nanga kila siku sio chini ya 4mpaka 5 na kwa kila cruise inabeba watalii wasio pungua 6000 mpaka 7000 hiyo ni kwa meli kubwa still wanapokea meli zinye ukubwa sawa na meli ya mfalme WA Oman nyingi
Binafsi nakumbuka mengi sana nimewahi kujikojolea kwenye kochi enzi hizo nalala sebuleni kwa brother kasheshe ni pale beck3 anapotaka kupiga deki sebuleni alafu beck3 mwenyewe ni mnoko balaa hiyo siku kwangu ilikuwa ni mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nakumbuka mengi sana nimewahi kujikojolea kwenye kochi enzi hizo nalala sebuleni kwa brother kasheshe ni pale beck3 anapotaka kupiga deki sebuleni alafu beck3 mwenyewe ni mnoko balaa hiyo siku kwangu ilikuwa ni mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.