Recent content by Dotto Mashaka

  1. D

    Mchawi akamatwa jijini Dar na kuuawa baada ya kudondoka na ungo

    waliofanya hili...............................? kwa uhakika upi uliothibitisha kuwa ni mchawi...........................?
  2. D

    Dr. Ulimboka is smart and good Now..

    safi na Mungu amtangulie zaidi katika ujenzi wa Taifa hili la Tanzania.......
  3. D

    Mafunzo ya polisi kama ndo haya nimeshindwa

    si wote tulizaliwa kuwa maaskari, maana hata kulinda haki za binadamu hata wachungaji, maaskofu, wanasheria hufanya kazi hizo kwa njia mbalimbali, hivyo sio lazima kufanya wote tuwe maaskari though ukakamavu ni sehemu mhimu sana ktika maisha....... jeshini ni sehemu ambayo watu hufunzwa...
  4. D

    maoni kutokana na taarifa sinazosambazwa na vyombo vya habari.

    hivi kitendo cha viongozi wetu kufanya vibaya katika kazi zao pindi wanapopewa madaraka je, tatizo huwa ni uteuzi katika nyadhifa hizo au tatizo ni kwa waheshimiwa wanaoteuliwa kuwepo madarakani ? mnisaidie. Ahsanteni.
  5. D

    Penzi la kwanza

    exactly, mtu wa kwanza siku zote ndo hufungua njia kati ya watu wawili katika mapenzi ndo maana husababisha hawa watu wawili kukumbukana isivyo kawaida, na mpango wa Mungu ni Kuhakikisha kila mmoja wetu anaye mmoja tu kama Adam na Eva ktk Bustani ya Eden.... pia, katika katika sababu 18 za...
  6. D

    Rais Kikwete kufuta tozo ya kodi kwa line za simu

    this is what we want, kiongozi ni lazima uwe na maamuzi Magumu kama haya ili wananchi wako waweze kutambua umhimu wako pindi uwapo madarakani, tunamshukuru raisi wetu kwa uamuzi alioutoa, maana wanyonge ndo walikuwa hasa wahanga wa kodi hii ya simu, Ahsanteni.
  7. D

    Mabwabwa yakifunga ndoa nchini South Africa

    kwa kweli inashangaza sana tunapoona mambo kama haya yakitokea katika dunia hii na hii inadhihirisha ukomo wa dunia, haiwezekani watu wenye jinsia moja wakifunga ndoa, Ee MU NGU tuepushe mbali nalo janga hili lisiguse jamii inayotuzunguka, tuyaonapo haya ni lazima tuchangamke ahsanteni
Back
Top Bottom