Jitazame wewe mwenyewe una kipaji gani mfano ususi / mapishi then anzisha biashara kutokana na kipaji ulichonacho hii itakusaidia kupunguza changamoto ndogo ndogo zinazoweza kujitokeza kama vile usimamizi n.k
Bora kabisa ata mlivyopata hivyo viti viwili tu.
Bunge lililopita mmetusumbua sana kuitisha uchaguzi kila mara sababu tu ya kukosa kwenu msimamo na kuishia kuunga juhudi.
Kwa sasa walau nchi italuia.
Ukimya nao huwa ni jibu tosha.
Muda mwingine kujibizana na mtu ni njia ya kumfanya awe maarufu kwa jamii ama kuufanya uongo uonekane ukweli.
Magufuli alikuwa sahihi kabisa kukaa kimya hivyo anastahili 5 tena.
Alafu hivi kweli Rais ni wa kujibizana na ka raia kake kweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.