Recent content by Dorkan

  1. D

    Rais Magufuli afanya ziara Ikulu, aonesha umahiri katika kushona

    kushona cherehani na maendeleo wapi na wapi ndugu,think big man!
  2. D

    When ovulation resume after delivery

    mmh atakama umeshoneka jamani?@brenda
  3. D

    Ndege za kwenda Mtwara kutoka Dar

    Byakazoba unaweza kunisaidia contact zao
  4. D

    Ndege za kwenda Mtwara kutoka Dar

    Habari za asubuhi wandugu. Samahani sijui kama niko ktk jukwaa sahihi au la ila ningependa kufahamu ni shirika gani la ndege linafanya safari za Dar-Mtwara? na ni kiasi gani?
  5. D

    Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

    nashukuru sana ndugu zanguni kwa ushauri wenu
  6. D

    Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

    asante mpendwa wangu,na je kama ukichangia kwa mwaka mmoja then kibarua kikaisha,wanakuwa na utaratibu gani?
  7. D

    Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

    Habari za jioni wadau! Nimepata ajira,lakini natakiwa kuchagua moja wapo ya mifuko ya hifadhi ya jamii. Naomba ushauri kwa mwenye uelewa na hayo mambo. Natanguliza shukrani
  8. D

    Kumuachisha mtoto kunyonya

    ok,nimekupata vizuri sana,asante!
  9. D

    Kumuachisha mtoto kunyonya

    yah,nlianza kumuachisha kunyonya mchana tangu akiwa na mwaka unusu,tabu ni usiku tu
  10. D

    Kumuachisha mtoto kunyonya

    haa haa haa! Wewe acha utani bwana.
  11. D

    Kumuachisha mtoto kunyonya

    asante mpenzi kwa ushauri. Kuhusiana na swali ulilouliza situation iko complicated kidogo.
  12. D

    Hamjambo?

    nashukuru sana!
  13. D

    Hamjambo?

    asante sana
Back
Top Bottom