Habari za asubuhi wandugu.
Samahani sijui kama niko ktk jukwaa sahihi au la ila ningependa kufahamu ni shirika gani la ndege linafanya safari za Dar-Mtwara? na ni kiasi gani?
Habari za jioni wadau!
Nimepata ajira,lakini natakiwa kuchagua moja wapo ya mifuko ya hifadhi ya jamii. Naomba ushauri kwa mwenye uelewa na hayo mambo.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.