Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

Mfuko pekee ni LAPF. Usidanganyike na hao PSPF wazushi tu, siasa nyingi sana tatizo lao.
 
Acha kumpoteza mwenzio. Ongea kwa hoja na sio unaropoka tu. Do not mess with someone's life.

Wewe ndo unampoteza and u r messing with his life..usimtumbukize shimoni hatoweza toka..karibu kwa hoja.
 
LAPF wengine wote matapeli tu sjui hata SSRA wanafanya nini, Mfano mkopo wa elimu na fao la uzazi pspf hawana,hata mwajili wako tu yuko LAPF.
 
Wewe ndo unampoteza and u r messing with his life..usimtumbukize shimoni hatoweza toka..karibu kwa hoja.

Huo mfuko upo ICU, hata mkuu wa kaya kupitia ripoti ya CAG kashathibitisha hilo. Acha kumrubuni mwenzio..try to be real.
 
Huo mfuko upo ICU, hata mkuu wa kaya kupitia ripoti ya CAG kashathibitisha hilo. Acha kumrubuni mwenzio..try to be real.
Nina shaka na uelewa wako au ni ushabiki wa mfuko fulani rudia kusoma cag report kuhusu mifuko ya jamii na comments za J.K kuhusu hilo labda unaweza ongeza ufahamu wako..
 
Jaman kwa wale mliojiung na mfuko wa WA HIFADHI YA JAmii wa nssf,ebu mnijuze kuhusu makato yao maana nataka kujiunga nao

nawasilisha
 
Kama kuna mifuko mingine nenda ila sio NSSF/ZSSF labda kama kazi ya nimpaka uwe mzee ila kama ni wa kuhama na kuchukua chako jamaaa wanazingua sana
 
jiunge NSSF, zssf hawakuruhusu kuchukua fao lako mpaka ufikishe umri wa kustaafu miaka 55.
 
ZSSF umeshaingia choo cha kike Hiyo hela hautoitoa mpaka Miaka 60.
 
MIMI pia nakushauri kuingia kwenye website ya kila mmoja pitia kwa utulivu na kufanya maamuzi kulingana na mahitaji yako. kila mtu ana mipango yake na mahitaji yake binafsi
 
Achana na mifuko hiyo. We chukua package yote fanyia biashara tu. Kwanza unajuaje kama utasitaafu hujafa??? Maisha yenyewe mafupi hivi. Kama huwezi kufanya biashara anzisha mfuko wako wa kibubu. Hao wengine wanaokushauri hayo mamifuko, sijui magunia wanakupotosha tu.


Uko sawa sawa?
 
Back
Top Bottom