Polisi gani hajui mambo mengi kiasi hiki.
Hivi huwa hawachukui hata muda wa kumsoma mpinzani wao, amepitia mambo gani na rekodi gani yupo nazo?
Aibu sana kwa hawa mapolisi, inabidi wajioneshe kuwa ni werevu ndo maana wapo kwenye hizi nafasi.
Unaanzaje kumpa adhabu kisa kamla mke wako ama demu wako.
Huu ni udhaifu mkubwa sana, ambao haukupi nafuu yeyote.
Adhabu mpe mkeo/demu wako. Kama yeye ameamua kuwafurahisha na wengine kwa hiari yake wewe vipi ikuume.
Uchi wake, mwenyewe umempata ukubwani.
Amua kuishi nae kwa tabia hizo, ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.