Recent content by Doria Mtandaoni

  1. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Poor thinking. Akili za kidikteta na kinyonyaji ndi zipo hivi unavyowaza. Hujali katika uongozi wako unaacha alama gani. Ukifikiria hapo, utaamua tofauti. Kwa akili zako miradi na uchumi ukiyumba utawasingizia wazungu tu.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hotel inauzwa, ipo Mtwara, Tanzania. Bei ni dollar 1.6m

    Shangani aparts ziliuzika? Mtwara ni cool destination ya kuzika hela, kusafishia hela then unakopea hiyo mijengo. Miundombinu mhm sana. Mlioiba fedha chukueni hiyo kitu.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Chongolo: Wakulima ondoeni shaka, mbolea ipo ya kutosha

    Huyu waziri vipi? Watu tunapambana kilimo cha mboga mboga na matunda hatuna mbolea yeye anasema zipo. Labda kama zimefungiwa na haziuzwi.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Ndo wameshaanza kumsagia kunguni. Uzuri britanicca alishampa onyo akae mguu sawa.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Kuna uzi wa plane crash uliwekwa humu. Heee
  6. D

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Kilimo tuambieni wakulima kuwa Tanzania hakuna mbolea tujue moja ila sio kwa mateso haya

    Bashe anawacheka tu huko alipo. Yule ndo ameleta uhuni mwinvi pale wizarani. Wameharibu kwenye mbegu sasa na hili la mbolea.
  7. D

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Kilimo tuambieni wakulima kuwa Tanzania hakuna mbolea tujue moja ila sio kwa mateso haya

    Chongolo asipoangalia ataliwa kichwa kwenye hili eneo. Achukue hatua haraka. Haiwezekani nchi inayohubiri kilimo kuwa ni uti wa mgongo haina upatikanaji wa mbolea. Serikali iyalipe makampuni makubwa yanayoleta mbolea hata 70% tu. Iachanane na ukopoji unaoua biashara. Inashindwa vipi kuwa...
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee na uchawi wa mapenzi. Hii imekaaje?

    Kondoa, Tabora, Tanga na Mbulu ni maeneo hatarishi sana kwa ndumba za mapenzi.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    MUda ufike haraka Unaangalia mechi gani mzee.? Pira haram haram full mbwinu wewe unaona moto. Mkuu mbona kiwango chako huwa kikubwa hahahahahah nimejua wanawabeba hawa wahuni ili baadae wasiseme neno
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi wateja kuuziwa vifungashio baada ya kununua bidhaa tena za pesa kubwa tu?

    Muuzaji anapaswa kuweka bajeti ya vifungashio kwa wateja wake. Kwani yeye anapoenda kununua iwe viwandani ama kwenye maduka makubwa ya jumla? Kuna bidhaa zinakuwa na vifungashio tayari, na bado unauziwa. Ule ni uhuni kumtoza mnunuzi gharama ya kubebea bidhaa alivyonunua dukani kwako. Hii...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Pole sana mkuu. Tumezingatia hisia zenu mashabiki wote wenye roho mbaya.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kutaneni ili tukipiga bomu tuwapate vizuri.
  13. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rasmi, Mahakama yafuta amri ya Msajili wa vyama ya kuzuia ruzuku kwa CHADEMA na kutotambua viongozi

    Kwani hii kesi ilikuwa inasikilizwa kanda tofauti tofauti?
  14. D

    JamiiForums Tanzania Your antivirus software watching you disabling it to run keygen.exe

    Mkuu hii nayo ni episode ama inajitegemea? Mbona ulisema hutatumia code?
Back
Top Bottom