Poor thinking. Akili za kidikteta na kinyonyaji ndi zipo hivi unavyowaza.
Hujali katika uongozi wako unaacha alama gani. Ukifikiria hapo, utaamua tofauti.
Kwa akili zako miradi na uchumi ukiyumba utawasingizia wazungu tu.
Shangani aparts ziliuzika? Mtwara ni cool destination ya kuzika hela, kusafishia hela then unakopea hiyo mijengo.
Miundombinu mhm sana. Mlioiba fedha chukueni hiyo kitu.
Chongolo asipoangalia ataliwa kichwa kwenye hili eneo.
Achukue hatua haraka. Haiwezekani nchi inayohubiri kilimo kuwa ni uti wa mgongo haina upatikanaji wa mbolea.
Serikali iyalipe makampuni makubwa yanayoleta mbolea hata 70% tu.
Iachanane na ukopoji unaoua biashara. Inashindwa vipi kuwa...
MUda ufike haraka
Unaangalia mechi gani mzee.? Pira haram haram full mbwinu wewe unaona moto.
Mkuu mbona kiwango chako huwa kikubwa hahahahahah nimejua wanawabeba hawa wahuni ili baadae wasiseme neno
Muuzaji anapaswa kuweka bajeti ya vifungashio kwa wateja wake.
Kwani yeye anapoenda kununua iwe viwandani ama kwenye maduka makubwa ya jumla?
Kuna bidhaa zinakuwa na vifungashio tayari, na bado unauziwa.
Ule ni uhuni kumtoza mnunuzi gharama ya kubebea bidhaa alivyonunua dukani kwako. Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.