Recent content by Doria Mtandaoni

  1. D

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Huko hakuna come back.. unakumbuka yule aliyeuliwa picnic.. wakifanya lolote, watasumbuana sana hizo pande. Wayamalize tu maisha yaendelee.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Ilikuaje sikuusoma huu uzi.?
  3. D

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Huyo nae fala sijui katoka mkoa gani. Afande RPC ukipokea bijana wapya waambie hiyo ni Arusha. Wajue mitaa wanakwendaje.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    Fita ni fitaa muraaaa.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Igp na DCI waanze kukesha na PGO.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Umepiga hadi kwenye puru ya huyo kenge.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Duh..brita ni man of the year humu JF
  8. D

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Uamuzi wa mahakama wa aidha Rais Samia, Philip Mpango (VP mstaafu) na Kassimu Majaliwa (PM mstaafu) waitwe kumtetea Lissu au la..

    Elewa tu sio rahisi. Si uliwaona mashahidi wa jamhuri walivyopuyanga. Kimsingi subiria utaona hao mashahidi watakavyokaangwa kuonesha mashahidi wa jamhuri walikuwa ni waongo. Maana inaenda kuexpose credibility zao na taasisi zao.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Mkolomije nasikia walitaka kupita nae tena. Hii michezo hatari sana.
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Huu uzi bana, ulitembea kwenye mifereji.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Muhadhiri wa UDOM, Melkisedek Kaijage aachiwa huru, Apewa Masharti

    Malawi bana, mtu anashitakiwa kwa ugaidi ama uhaini. Ghafla watu wanatema bungo.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Ulinzi na Usalama, someni maandishi yaliyopo ukutani

    Ni moja ya bandiko zuri kwa wale wenye mamlaka ya chini. Mifano ipo mingi, wanaofanywa mbuzi wa kafara huwa ni nani? Rais hapana?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Uamuzi wa mahakama wa aidha Rais Samia, Philip Mpango (VP mstaafu) na Kassimu Majaliwa (PM mstaafu) waitwe kumtetea Lissu au la..

    Hahahaha kuna maswali ya dodoso kuthibitisha ushahidi wako.
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe; huu udongo wa Wasira na Warioba sio wa Dunia hii!!

    Mkapa, Magufuli, kolimba, jenista, lukuvi na wengineo
  15. D

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Hujakutana na watu wewe nakutamani tu hapa.
Back
Top Bottom