Recent content by Doria Mtandaoni

  1. D

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Polisi gani hajui mambo mengi kiasi hiki. Hivi huwa hawachukui hata muda wa kumsoma mpinzani wao, amepitia mambo gani na rekodi gani yupo nazo? Aibu sana kwa hawa mapolisi, inabidi wajioneshe kuwa ni werevu ndo maana wapo kwenye hizi nafasi.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM amwambia wazi rais Samia, haogopi kutekwa wala haogopi mtu

    Akili muhimu sana. Jamaa na ID yake na anachoshauri unabakia kushangaa unafiki wake.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Walijuzungusha zungusha tu.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Mtu anaamua kuanzisha vikosi vyake, kutukana watu ila anaachwa tu

    Akithubutu analiwa kichwa.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Briefing ya TEC na Rais by Fr. Kitima

    Wekeni na bandiko la TEC la Nov kusindikiza huu uzi kama rejea. johnthebaptist
  6. D

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    R RAha uichakate..
  7. D

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Izraeli afanye upesi.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Naona leo mbinchi na borntown afu kule kijana msema sana amerudi ulingoni kwa kasi...shasha nae amerejea madhabahuni.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Tupo on..
  10. D

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Uchi wa mkeo, kaupeleka mwenyewe wewe kinakuwasha nini hadi umfire mwanaume mwenzako. Ukimaliza unaenda kuhadithia mkeo yule fala alikutia nae umemtia afu unagonga na mkeo?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Bila shaka vile vikundi feki pia vimejadiliwa
  12. D

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Unaanzaje kumpa adhabu kisa kamla mke wako ama demu wako. Huu ni udhaifu mkubwa sana, ambao haukupi nafuu yeyote. Adhabu mpe mkeo/demu wako. Kama yeye ameamua kuwafurahisha na wengine kwa hiari yake wewe vipi ikuume. Uchi wake, mwenyewe umempata ukubwani. Amua kuishi nae kwa tabia hizo, ama...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    ChoiceVariable njoo na data hawa wahuni kila jambo wanafanya siasa.
Back
Top Bottom