Recent content by doreen eddy

  1. D

    Wanawake mnavuruga ndoa sababu ya kujilinganisha na wanaume

    wanaume wenyewe ndo wanasababisha hayo yote,zamani wanawake walikuwa wanakaa tu nyumbani analetewa kila kitu yeye ni kulea watoto nyumbani,sasa hivi mwanamke anazaa kwa uchungu na anakula kwa jasho na wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake wenye kipato,ukitaka ukichwa muweke mkeo nyumbani mletee...
  2. D

    Nimechuma mali na mme wangu, lakini sasa anachepuka hakumbuki hata familia yake

    Hivi mtu mmeanza maisha mkiwa hamna kitu mmehangaika mpaka mmepata angalau nyumba na gari mkiwa mnajibana wote pamoja kwa ajili ya watoto wenu badae. Unakuja kugundua mwenzako anachepuka tena anahudumia kupita hata mkewe na watoto nyumbani anapoulizwa anakuwa mbogo hataki kufuatiliwa wakati...
  3. D

    Nimezaa nae naogopa kumuacha

    Yani wewe mleta uzi nadhani hazikutoshi vizuri, mna miaka miwili kwenye mahusiano,umemzalisha mtoto wa watu hata kwao bado hujaenda kumtolea mahari unataka tena akupe k,,usikute matunzo yenyewe magumashi maneno mengi vitendo zero kwanini asikudharau?.jitazame upya kasoro zako ,hakuna mwanamke...
  4. D

    Wema Sepetu ni nani mpaka kuwa na ushawishi namna hii?

    Mungu hakuumba mtu mbaya duniani,uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtu,nyie mnasema sijui wema mbaya zari mzuri au zari mbaya wema mzuri mlishirikiana na mungu kuwaumba?mbona mnapenda kukosoa sana miili yenyewe inayosifiwa ni mavumbi tu mwisho wa siku kila mtu ni wa kufa tu,mambo wanatofanya...
  5. D

    Je utoaji mimba ndio suluhisho?

    kuna dadangu mie alipata mimba jamaa kaja juu oooh hujui siku zako ooh me sipo tayari kulea saizi akamwambia atoe sister akamwambia poa nipe hela nkatoe hakuitoa bdae kamwambia si nilikwambia utoe akasema pesa iliibiwa akampa nyingine then sister akabadili line, baada ya miez akajifungua mtoto...
  6. D

    Picha: Martin, Aunty wazua utata ukumbini

    kwani huyo zari hao watoto ni wa baba mmoja?.anatumia pesa nyingi kujiweka vizuri ndo mana anaonekana mkaree.
  7. D

    Mashabiki wamuandikia barua ya wazi kwa mwanadada Wema Sepetu

    wajane kwani dangote kavuta?.mjane ni mtu aliyefiwa.
  8. D

    Kupendwa raha jamani

    hiyo inawezekana ukioa golikipa coz muda wote yupo hom anaweza kufanya hayo,sasa wewe uoe mtu anafanya kazi kunduchi anaishi mbagala kuamka saa kumi usiku kurudi saa nne usiku hayo mahaba atapata wapi muda wa kukufanyia.
  9. D

    Matumizi ya simu kwenye ndege

    me nahisi mawasiliano huwa yanaingiliana hivyo inaweza kumchanganya rubani,na wakati mgumu wa ndege ni wakati wa kupaa na kutua ardhini pale panahitajika utulivu wa mawasiliano.
Back
Top Bottom