Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
ha ha ha ha hili nalijua na sitegemei lazima mahusiano yawe ya ndoa .......
wengi wenu mnatoa ahadi hewa ndo mana wanaamua kuwabebea mimba zenu bila kupanga
salsa hapo ndipo mnajiumiza wenyew unambebea mtu mimba wakat hamjapanga hilo lazma ulile name wa kwenu myfriend