Kupendwa raha jamani

Kupendwa raha jamani

Unaamshwa asubuhi, Unatayarishiwa maji ya kuoga, Unaandaliwa nguo za kuvaa kwa siku hiyo, Unaandaliwa chai au brekefast kwa kizungu aaah
Unapewa maneno ya kutiwa moyo na mwandani wako, Njiani unasindikizwa kwa simu ya mwandani au sms , Ukifika job au kibaruani unaanmbiwa "kazi njema".

Unakumbushwa kula chakula cha mchana na mwandani kwa simu au sms, Jioni unapewa dondoo za stori na mwandani kabla ya kutoka ili upate hamu ya kurudi nyumbani mapema Ukifika mwandani anakupokea na kukupa pole kwa namna anavyojua yeye, Unakaa kwenye kochi anakuwashia Tv anakuwekea kipindi ukipendacho. Unaletewa chai ya kutayarisha tumbo kbla ya mlo wa usiku.

Hapo sasa ratiba inajishona yenyewe baada ya kula chakula cha jioni (dinner).

Mwasemaje wadau?

Umesahau mizinga!!
 
Uuuwiii na mpango huu wa kila mtu awe na masyers+Phd??? muda gani tutawaza ajira zinazotupatia heshma brbrniiii!!!! Aiseee lbd mwanachuo huyoo buuum limemuishiaa...
 
kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka.....enjoy brother
 
Hongera sana kwa kupendwa kweli. Muombe mungu iendelee hvyo hvyo.
 
hiyo inawezekana ukioa golikipa coz muda wote yupo hom anaweza kufanya hayo,sasa wewe uoe mtu anafanya kazi kunduchi anaishi mbagala kuamka saa kumi usiku kurudi saa nne usiku hayo mahaba atapata wapi muda wa kukufanyia.
 
Penzi jipya au ndoa changa utaijua tu.....


Unaamshwa asubuhi, Unatayarishiwa maji ya kuoga, Unaandaliwa nguo za kuvaa kwa siku hiyo, Unaandaliwa chai au brekefast kwa kizungu aaah
Unapewa maneno ya kutiwa moyo na mwandani wako, Njiani unasindikizwa kwa simu ya mwandani au sms , Ukifika job au kibaruani unaanmbiwa "kazi njema".

Unakumbushwa kula chakula cha mchana na mwandani kwa simu au sms, Jioni unapewa dondoo za stori na mwandani kabla ya kutoka ili upate hamu ya kurudi nyumbani mapema Ukifika mwandani anakupokea na kukupa pole kwa namna anavyojua yeye, Unakaa kwenye kochi anakuwashia Tv anakuwekea kipindi ukipendacho. Unaletewa chai ya kutayarisha tumbo kbla ya mlo wa usiku.

Hapo sasa ratiba inajishona yenyewe baada ya kula chakula cha jioni (dinner).

Mwasemaje wadau?
 
hiyo inawezekana ukioa golikipa coz muda wote yupo hom anaweza kufanya hayo,sasa wewe uoe mtu anafanya kazi kunduchi anaishi mbagala kuamka saa kumi usiku kurudi saa nne usiku hayo mahaba atapata wapi muda wa kukufanyia.

weekEnd
 
There is a saying in our language:
"hatred can be overcome only by love"
 
Unaamshwa asubuhi, Unatayarishiwa maji ya kuoga, Unaandaliwa nguo za kuvaa kwa siku hiyo, Unaandaliwa chai au brekefast kwa kizungu aaah
Unapewa maneno ya kutiwa moyo na mwandani wako, Njiani unasindikizwa kwa simu ya mwandani au sms , Ukifika job au kibaruani unaanmbiwa "kazi njema".

Unakumbushwa kula chakula cha mchana na mwandani kwa simu au sms, Jioni unapewa dondoo za stori na mwandani kabla ya kutoka ili upate hamu ya kurudi nyumbani mapema Ukifika mwandani anakupokea na kukupa pole kwa namna anavyojua yeye, Unakaa kwenye kochi anakuwashia Tv anakuwekea kipindi ukipendacho. Unaletewa chai ya kutayarisha tumbo kbla ya mlo wa usiku.

Hapo sasa ratiba inajishona yenyewe baada ya kula chakula cha jioni (dinner).

Mwasemaje wadau?

mnapenda sana kutendewa kwa kweli duuhhh.
Kazi ipo
 
duuu hongera ndugu....wengine kwetu ni kama ndoto he he he
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom