Tracy i feel ur pain!!!Do wat is th best for you.People do mistakes in life;we all do.So do not regret at all.Ths is a lesson for you and all of us.Nothing bad like living unhappy life maana utapata matatizo ya kiafya ikiwemo depression au heart attack,na pia sioni kama unaenjoy tendo la ndoa on...
Sukuma sukuma Escrow inayoendelea inataka kuhakilisha Escrow inaingia ndani ya jumba la serikali.Ikiingia tu tukue game over kama yaliyotukuta kwenye Katiba.Kwa maana hiyo basi Wananchi amkeni.Tabia zenu za kusinzia ndio maana tunaibiwa mchana kweupe.Tizama movie hii ya jioni wawe wabunge mizigo...
Just be careful bro.Marriage is th hardest decision to make.Ila pia binadamu hakuna aliye mkamilifu.Hakuna wa kukulaumu kwa hilo yo not th first neither th last to make mistakes or to be pushes with affections.Stay calm,be patient na utizame kama kuna mabadiliko.If not stay away jus care for ur...
Wakati umefika sasa wa kuchukua nchi yetu kutoka mikononi mwa mabeberu weusi wa ndani ya nchi yetu wenyewe.Nawaza kwa sauti ccn wakiijenga nchi hii kwa ngucu kubwa miaka zaidi ya thelathini leo hii wanaibomoa kwa nguvu ya damu.Damu ya think tanks wa Taifa hili.Tena kwa gharama kubwa ya uhai.Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.