Hiyo ni cheni ambayo itawaumiza hata wa karibu yake kwani njia ndo zilezile anahisi anawakomesha wenye tamaa zao ila akubari kuwa unawahusu wa karibu ndugu jamaa na marafik pia. Muhimu ni kujikubari na kumrudia mungu. Haina sababu ya kuondoka na wengi wakati uwezekano wa kuondoka peke yako upo...
Pia watu tumejitenga sana na Mungu hivyo hofu ya Mungu haipo kabisa, embu tujitahidi kusali. maana kuwa na hofu ya MUNGU inasaidia hata kuwa na moyo wa imani hivyo lazima uwe na huruma kwa mwenzi wako na kijacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.