Recent content by doppla2

  1. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makada: CHAUMMA hawana tofauti na CCM ni Wezi tu, tunarudi CHADEMA

    Huu ni ushindi Kwa CHADEMA . Njia ya uwongo ni fupi sana.
  2. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Devotha Minja hana sifa ya kuwa mgombea mwenza

    Wamefanikiwa kumpora chama Mzee wa ubwabwa
  3. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia alipatia Tabasamu Taifa. Lalipuka Kwa shangwe , nderemo na vifijo mitaani kote. Watu Wajikuta wakibubujikwa na Machozi ya Furaha

    Very controversial. Kwenye mikusanyiko watu wamejaa kwenye viringe vya kitaa na mitandaoni ni matusi na kebehi Kwa kwenda mbele! Swali hao wanaokusanyika kwenye matukio hayo wakimaliza shughuli mapenzi Yao huenda wapi ?
  4. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ukimvamia Polepole kichwa-kichwa utakuwa umejichanganya

    Nimemsikiza mara nyingi , Tena na Tena, na nimejiridhisha ni kijana smart kabisa, akili njema, mwadilifu, na anapaswa kuungwa mkono Kwa Hali na amali. Mimi ntamuombea Kila siku.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Tufute mfumo wa vyama vingi kibaki kimoja, Demokrasia siyo saizi yetu

    Shida ni kuwa na mifumo ya utawala rigid. Tunajua kabisa tunazidiana uwezo ila ukiambiwa mpishe mwenzio tunaleta ubishi na u babe. Mchawi wetu ni tabia zetu ambazo Bado hazijatahiriwa
  6. D

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Nothing happens for no reason. Kiprotocali, niambieni nini kinaweza kutoa fursa ya picha kama hii Kwa Mh Mbowe ? Wote wakae afu Mwamba asimame nyuma peke ake as a king ? Sio hivyo tu , presida mwenyewe aamuke asimame na mwamba peke Yao kama wafalme wawili wenye mamlaka kamili wamekutana ...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Samia na Mbowe hand shaking.: Je hii ni dhihaka, dharau na kejeli dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu?

    Nothing happens for no reason. Kiprotocali, niambieni nini kinaweza kutoa fursa ya picha kama hii Kwa Mh Mbowe ? Wote wakae afu Mwamba asimame nyuma peke ake as a king ? Sio hivyo tu , presida mwenyewe aamuke asimame na mwamba peke Yao kama wafalme wawili wenye mamlaka kamili wamekutana ...
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

    Ndo nini ? Na siku nyingi sijaingia MMU , mambo yamebadirika sana.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ulevi na Kulewa Wikiendi: Kufurahia Maisha au Kutoroka Realities?

    Ulevi ni maladaptive lifestyle. Walichofanikiwa wawekezaji wa huduma za vilabu vya pombe ni kuipromote kama iwe tabia ya wajanja ila ukweli ulevi ni uhuni, uzembe, na hatari Kwa afya. Kutokua na uwezo wa kukabili presha za maisha ndio chanzo cha tabia yenye urahibu. Matokeo positive ya ulevi...
  10. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu: Msajili wa Vyama, hana mamlaka kufungia/kufuta vyama chini ya muda wa miezi 12 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Tatizo mawakili na wadau wa sheria hawazijui hata sheria zetu zinasema nini. Mtu anapewa mamlaka ya kisheria kwenye eneo flani ila hajibidiishi kuzisoma sheria under his jurisdiction . Leo nimeshangazwa na uwepo wa kifungu hicho kinachozuia utekelezaji wa agizo la kufungua chama Cha siasa...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Nimeamini Mahakama ya Tanzania haiko huru. Kuna Mtu mkubwa ana icontrol atakavyo

    In which context? Often in the expense of pain to others .
  12. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Nchi hii tafuta Hela , mengine yatakua yanajiendea tu. Ukikomalia vyeti , tutawauliza nyie wenye vyeti mmefanya nini Cha maana ?
  13. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu

    SHS siku hizi akwepeshi. Gwajiboy amejibiwa na Hana Tena nafasi ndani ya CCM . Aendelee na utumishi wake nje ya CCM Kwa kadri Mungu atakavyomuongoza
  14. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kakonko: Viongozi na wafuasi zaidi ya 200 wa CHADEMA wamajiunga ACT Wazalendo

    Siku hizi mkitaka habari ipewe uzito ni lazima utaje CHADEMA . Hiki chama kimekua na ushawishi mkubwa sana nchini.
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kwenye Mkutano Mkuu wa CCM wa tarehe 29- 30, 2025, kuna jambo linakwenda kutokea na lisipotokea, basi liko mbioni

    Ramli chonganishi. Sasa kama hujui ilo jambo baraka ya nini. Subiria itajulikana.
Back
Top Bottom