Pole vita hiyo huwa sio rahisi. Usilogwe uende Kwa waganga utapoteza msaada wa Mungu. Utasota sana. Relax, endelea na kazi . Focus kwenye kuongeza ujuzi na ustadi. Punguza kujitetea na chagua kubaki kimyaa kwenye vikao. Ni nyota Yako inatafutwa kuzimwa. Ukivuka hapo Kuna daraja utapanda.
Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan.
Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia.
Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
Tulia mkuu. Hilo linazungumzika na linaweza fanyiwa mabadiriko. Yote yafanyike Kwa upendo na omba maokoto yawepo mezani ya kumpendezesha.
Usifanye kosa la kumpiga stress wife atakua kituko zaidi ya hivyo unavyoona now.
Lakini kumbuka, kigezo cha kuwa wife sio mwonekano tu. Kama ni mama bora na...
Mimi ni mpenzi wa magari mazuri mazuri ninatafuta gari lenye uwezo wa kubeba watu 8, kuna haya yanayoitwa Alphard.
Ninapokuja kwenye kuchagua nakwama, bajeti yangu ni ndogo halafu nimeona kuna aina nyingi. Ninaomba mwenye uzoefu asaidie kunielezea tofauti ya Alphard G, Alphard Hybrid, Adalphard...
Being HIV positive for 12 without any opportunitistic infection is a purely miracle. Then why do you need any miracle???
You are the living miracle
Keep it up with your God
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazima kusisitiza uwajibikaji. Hawjui tu tunavyowaza kuona huna namna ya kusaidia wazazi na ndg huku jamii ikitutegemea kufanya hivyo kwa ufanisi mkuu.
Tupunguziane matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.