Recent content by doppla2

  1. D

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Pole vita hiyo huwa sio rahisi. Usilogwe uende Kwa waganga utapoteza msaada wa Mungu. Utasota sana. Relax, endelea na kazi . Focus kwenye kuongeza ujuzi na ustadi. Punguza kujitetea na chagua kubaki kimyaa kwenye vikao. Ni nyota Yako inatafutwa kuzimwa. Ukivuka hapo Kuna daraja utapanda.
  2. D

    Kwanini Serikali ya Tanzania huwa nyepesi Kujitolea Kuwazika Waliokufa katika MAAFA, ila Kupambana kuyazuia huwa Wazito na hawajali?

    Nimesoma heading tu. Kwa mawazo Yako kipi ni rahisi kati ya hayo. Kutuma salamu za pole au kutekeleza preventive measures
  3. D

    Wangapi mmewahi nufaika na online loan (mkopo) kutoka Tala

    Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan. Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia. Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
  4. D

    Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

    Tulia mkuu. Hilo linazungumzika na linaweza fanyiwa mabadiriko. Yote yafanyike Kwa upendo na omba maokoto yawepo mezani ya kumpendezesha. Usifanye kosa la kumpiga stress wife atakua kituko zaidi ya hivyo unavyoona now. Lakini kumbuka, kigezo cha kuwa wife sio mwonekano tu. Kama ni mama bora na...
  5. D

    Njia ya kuwa na mahusiano na mwanamke kwa urahisi

    Yote sawa ila sio December hii. Kitakachokupata usiseme hatukusema
  6. D

    Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

    Si ungesema tu mwanamke mdangaji na asie na akili za maisha hafai. Kuhusu umasikini wa kipato sio hoja coz umasikini sio kilema Cha maisha.
  7. D

    Toyota Alphard: Ubora na Mapungufu yake

    Mimi ni mpenzi wa magari mazuri mazuri ninatafuta gari lenye uwezo wa kubeba watu 8, kuna haya yanayoitwa Alphard. Ninapokuja kwenye kuchagua nakwama, bajeti yangu ni ndogo halafu nimeona kuna aina nyingi. Ninaomba mwenye uzoefu asaidie kunielezea tofauti ya Alphard G, Alphard Hybrid, Adalphard...
  8. D

    Minaki secondary School-Kisarawe

    nina wakwangu kachaguliwa EGM please ninaomba ushauri anatokea shule ya seminary mikoa ya kaskazini
  9. D

    Kuhusu wanaoombewa na kupona HIV makanisani

    Being HIV positive for 12 without any opportunitistic infection is a purely miracle. Then why do you need any miracle??? You are the living miracle Keep it up with your God Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Wazazi wetu mnachokifanya sio haki

    You got all the concept behind Big up brother Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Wazazi wetu mnachokifanya sio haki

    Thanks Mkuu Make sure tu nasi tuwajibuke kwa watoto tunaowazaa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. D

    Wazazi wetu mnachokifanya sio haki

    Ni lazima kusisitiza uwajibikaji. Hawjui tu tunavyowaza kuona huna namna ya kusaidia wazazi na ndg huku jamii ikitutegemea kufanya hivyo kwa ufanisi mkuu. Tupunguziane matatizo Sent using Jamii Forums mobile app
  13. D

    Wazazi wetu mnachokifanya sio haki

    Rudia kusoma context ya uzi huu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom