Recent content by Dont go away

  1. D

    Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

    CCM ni nani hadi wasikubali? ni marufuku kuunda mseto.
  2. D

    Dr. Slaa: Natishwa

    Raia Tanzania liliyumba sana kimapato mwanzoni mwa mwaka huu, naona kupitia slaa mapato yataongezeka.
  3. D

    Mpaka sasa CCM imepoteza majimbo matatu.

    Majimbo mengi sana.
  4. D

    Lowassa anasafishwa!

    Pigeni kelele zenu tu...ila LOWASSA lazima awe RAIS, kwani tunachagua msanii bongo fleva?
  5. D

    Chadema imevamiwa

    hivi nani asiyependa madaraka? JK. alishindwa uchaguzi mwaka 2010 Kwa tamaa ya madaraka akachakachua, JOB Ndugai kapiga mtu kwa mti hiyo yote ni tamaa ya madaraka, Wasira kamtwanga mwenyekiti wake kwa mangumi uchu wa madaraka huo..hakuna asiye penda madaraka wewe pimbi...cha msingi kanuni na...
  6. D

    Chadema imevamiwa

    Janga la kitaifaaaaaa wewe..
  7. D

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    Lowassa ndiye RAIS 2015
  8. D

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    ndoto mbaya sana..hasa unapoota huku ubongo ukiwa ume-stack
  9. D

    Kwa hesabu hizi CHADEMA/Lowassa hawatashinda ng'oo

    Unajua kilichotokea au unaongea ushuzi? mm ni chadema/ukawa damu damu, jana nilifuatwa na mgombea wa CCM hapa kwangu akanipa sh. 30000 na nikapewa kadi ya CCM Mpya kwanba leo nikapige kura nimchague...nikachukua na nikaenda kumpigia kura na ameshinda...sasa huyu unadhani utashinda october?
  10. D

    Dr. Wilbrod Slaa kesho kuanza rasmi vikao vya chama

    safiii...wale walafi waufyate....
  11. D

    Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

    sio lazima wote waje...wengine wabaki tu huko huko wana msaada mkubwa mkubwa kwetu.
  12. D

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Karibu makongoro utazaliwa upya ndani ya UKAWA.
  13. D

    Lowassa arudisha Fomu ya kugombea Urais Kupitia UKAWA, leo tarehe 1 Agosti, 2015

    Na badoooo! peoplessssssssss!!! cc: LIZABON
Back
Top Bottom