hivi nani asiyependa madaraka? JK. alishindwa uchaguzi mwaka 2010 Kwa tamaa ya madaraka akachakachua, JOB Ndugai kapiga mtu kwa mti hiyo yote ni tamaa ya madaraka, Wasira kamtwanga mwenyekiti wake kwa mangumi uchu wa madaraka huo..hakuna asiye penda madaraka wewe pimbi...cha msingi kanuni na...
Unajua kilichotokea au unaongea ushuzi? mm ni chadema/ukawa damu damu, jana nilifuatwa na mgombea wa CCM hapa kwangu akanipa sh. 30000 na nikapewa kadi ya CCM Mpya kwanba leo nikapige kura nimchague...nikachukua na nikaenda kumpigia kura na ameshinda...sasa huyu unadhani utashinda october?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.