Habari wakuu, Naombeni msaada jinsi yakuunganisha V8 BLUETOOTH GAME PAD KWENYE PC , nmejaribu manual inavyoelekeza Kama nolivyoambatanisha kwenye picha lakini nmeambulia patupu Upande wa PC
Habari wakuu, Naombeni msaada jinsi yakuunganisha V8 BLUETOOTH GAME PAD KWENYE PC , nmejaribu manual inavyoelekeza Kama nolivyoambatanisha kwenye picha lakini nmeambulia patupu Upande wa PC
Mkuu natafutaga sana historia ya Maj Gen Francis Louis na sijawahi kuipata. Nmeona umemuelezea kidogo
Itapendeza utupe historia yake mkuu
Natanguliza shukran
Tupo mkuu, Hii tabia ya mke wajirani kuachiwa pesa ya matumiz na mumewe halafu anafanyia urembo akijua atagongea kwa waifu kisa nahemeaga jumla jumla asee sipendi hii tabia.
yani bajet yako umehemea kitu cha mwez mzima nazaidi halafu wiki mbili kimeisha! kumbe nahudumia familia mbili...
mi pia lilianza taratibu bila mie kujua na nafikiri ni baada yakupigwa drip za kwinini! home walianzahisi nakiburi tu nasemeshwa sijibu, ila badae walielewa maskio hayapo sawa.
maskio yangu Yanavisa sana . huwa yanachagua mtu yaani kunamtu ata akiwa mbali tutaongea vizuri tu na...
bila kuungaunga doti unatoka kapa hapa!
yaani kama ukuwahi kusoma biblia pale Mwanzo wala kuskiliza mahubiri ya uumbwaji wa hawa viumbe ! aisee lazima utoke kapa tuu.
Hii movie balaa sana ila uwezi amini aikuuza kabisa yani ilkua ni hasara ata gharama za kuitengeneza azikurudi!
Wamarekani wanafki sana kisa kwenye movie walipigika sijui, zile zakina chuck noris waveti wanapigwa ovyo ovyo alafu eti huwa awageuki nyuma nakuangalia juu ndio wanazipenda...
polepole bulaza akuna mjuaji kubali kurekebishwa kinachopingwa ni vile ulisema sergent major ana vee 3 na saa mkononi, Cheo kipo ila huo mpangilio wa cheo V 3 na saa ndio haupo . jaribu kupitia jamaa alivyokuelewesha na mimi nilichochangia utaelewa maana sijakosoa tu bali nmelekebisha lkn...
huyo ndiyo yeye mkuu. wengi hawajakuelewa ila mie nmekuelewa na inawezekana unavyoisi ikawa ndio.
niliona jamaa yangu akipost status whatsapp akiweka picha waliyopiga na Mareham na aliandika R.I.P NGOSHA MANGI
kwaio huyu marehem anamchanganyiko USUKUMANI NA UCHAGANI. anamuonekano...
.
kwa hii attachment yako upo sahii ila Muelewe mkuu alichokuuliza na ukubali umekosea . alishangaa umesema sergeant major ana V 3 na na saa mkononi , hua amna cheo cha namna hiyo, ndio akakueleza hamna cheo cha Vee
tatu na saa mkononi bali ni Vee tatu na Ua ambae ni Staff
Sergeant na...
Mkuu kwa jinsi ulivyoandika ni wazi umekosa na unapojaribu kujisahihisha ndio unazidi kukosea. comment yako inavyojieleza ni kuwa kupata nyota tatu si mchezo. na kwakua ulimtaja meja hapo basi moja kwa moja ikaeleweka unaongelea nyota 3 wa TDDF yaani Captain, na ndipo kosa linapoonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.