kwa maisha ya watu wa afrika mashari na kati 86% ya matumizi ya simu ni kwa ajili ya mahusiano ya upenzitamaa na ngono tu kwa hiyo ushauri wangu ni kwamba huyo dada avumilie tu maana huo ni ugonjwa wa wengi na hata katika dunia ya kwanza pia takwimu za kuvunjika kwa ndoa nyingi na uchumba ni...
mahusiano ya kimapenzi na hata hatima yake ndoa ni kama kazi au ajira.....unaweza kupata kazi katika mazingira mazuri lakin kazi ikawa si nzuri au ina malipo madogo.
unaweza ukapata kazi yenye mshahara mzuri lakini katika mazingira mabaya.
unaweza kupata kazi mbaya mazingira mabaya na ujira...
Uko au upo wapi?... ni swali linaloashiria uelekeo wa wivu au kama amekuona ana kupima uaminifu wako...na kwa mantiki za metaphysics mwenye IQ kubwa hawezi kuuliza hivi....ni sawa na baada ya kujua ukweli wa uongo ni maumivu moyoni.
Unafanya nini?... ni kama upo au uko wapi....lengo la swali ni...
KUTONGOZA NI NGUVU YA USHAWISHI JUU ya upenzitamaa hata kabla ya dhamira kuu ya ushawishi; iwe ngono au jambo lolote lile, hata unapotaka kupata jambo fulani liwe baya au zuri neno pekee pale ni kutongoza mf; wanasiasa wanatutongoza tuwape kura,askari wanatongozwa na wata ili wapokee rushwa na...
naona hapo poa tu mbona hata hapa bongo mnalalamika akina dada wanachagua wenye pesa ndo maana mnaoa wabaya ....sure kuchagua marufuku. mungu ndiyo achaguaye.
ni utamaduni wao kwani wanakosa nini katika utamaduni huo?
ni sawa na kuwaambia masai waache kuvaa shuka
au wamang'ati wachemshe maji ya kunywa na wakati afya zao ni nzuri tu.
upo sahihi kabisa... ila pia hutegemea na vitabu gani unavyosoma....
ufahamu katika mambo gani hasa ndo muhimu....
kurubuniwa katika lipi maana huwezi kusoma vitabu vyote duniani...
na pia hakuna utamaduni ulio mzuri kuliko mwingine na mbaya kuliko mwingine...
asaaaaante kwa ushauri.
kwani mkubwa neno overtake halina msamiati au neno la kiswahili mimi nadhani mbwembwe nyingi labda hata kabla hajapata taarifa za kumjulisha wewe ni mhaya ulianza kwa misamiati ya kiingereza mingi sana na ikamchosha hata mimi sikulelewa mwanzoni kuoveratake ni nini......tena kwakuwa askari wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.