Kawailize kama umelijua Hilo basi huenda uliwaasi otherwise angalia vizuri msingi WA biblia inasemaje kuhusu wanawake kufundisha? Mbili elewa tofauti kati ya kuhubiri, kutoa seminar, na kufundisha. Mwandishi WA vitabu ni lazima awe muhubiri?
Kama wewe ni mkristo tafuta kumjua Mungu zaidi ya...
1.Je computer Yako inatumia bando haraka? Yaani 1gb nusu saw tu imekwisha? Comment hapa nikuelekeze
2. Je bado unanunua programs za computer? Tuongee utashangaa Kila kitu buleeee
3. Unachangamoto ya uandisha WA barua ya maombi Kwa kiingereza? Utasadiwa burueeee nimerudi
4. Ufungaji WA madishi
5...
Hakuna ubora Kwa gaidi aliyemteka mwanao...alafu mjue gaidi Huwa Hana Cha kupoteza kifo kwake ni sadaka so mabadilishano yatawanufaisha Hamas maana watapata watu wao waliokuwa lockup siku nyingi
Hujakutana na fundi hata ulaya vishoka wapo
Eleza hapa tatizo la PC Yako itakuwa fundi mwenyewe ila ukitakakujua computer siyo redio ifungue alafu utajua boss
Kwanza kabisa nipende kukupongeza wewe Mh.waziri Kwa kazi Yako nzuri ya kupigania maendeleo katika wizara hii nyeti Sana ya jinsia na maendeleo ya jamii. Niwe mkweli sijawahi kukufuatilia kama kipindi hiki na wakati ukiwa ktk wizara ya Elimu. You are one of the best leader we have in Tanzania...
Ukitumia YouTube kujifunza ufundi wa kompyuta nasi Kuwa makini sana na aina ya site unayopata mafunzo hapa ninamaana Kuna site wanaelekeza vitu lkn malengo Yao ni kukufanya uharibu Ili uwatafute. Wengine wanafundisha kwa taaluma ndogo na usipokuwa makini unaweza kujikuta unaharibu kifaa chako...
Eleza inkuwaje, he inawaka? Je inawaka na kuzima? Je inawaka alafu screen haioneshi?
Je unata link ya programs zote bureee
Je umechoka kununua antivirus?
Tuzungumze uipate Dunia ya technology bureeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.