Recent content by DonDonald

  1. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hongera sana kiongozi
  2. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hatimaye kipofu kaona mwezi Hongereni sana Arsenal
  3. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United yamfukuza kazi Kocha Amorim kwa kuwasema ‘mabosi’ vibaya

    Club ya Manchester United imetangaza kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wao Amorim Hatua hiyo imekuja baada ya kikao kilichofanyika leo asubuhi kati ya uongozi na kocha huyo ====== Manchester United imefuta kocha mkuu Ruben Amorim, baada ya kupewa kibarua hicho Novemba 2024. Amorim aliiongoza...
  4. DonDonald

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waandamanaji wachoma moto yard ya magari ya mabasi ya Esther

    Yard ya magari ya Mabasi ya Esther Luxury imechomwa moto na waandamanaji Inasemekana mabasi yote yaliyokuwepo hapo yamechomwa moto
  5. DonDonald

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe nchini Malawi, Silver Strikers waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila Je Yanga leo watapindua...
  6. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tumekubaliana kuwa kuhusu tarehe 29 tunasikiliza Maguire atakavyotuambia
  7. DonDonald

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-0 Wiliete | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 27/09/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Young Africans (Yanga) jioni ya leo wanaingia uwanjani kukipiga na Timu ya Wiliete kutoka Angola katika mechi ya marudiano. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika Angola, Yanga walitoka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya wawakilishi hao wa Angola Je...
  8. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii system ya kusema kuweka mabeki wengi kulazimisha wacheze sio positions zao, tutaendelea kufungwa na timu nyingi, especially timu za kingereza
  9. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    GGMU Kila la heri kwa wana Man Utd wote, tukiwa tunajiandaa na Final ya Europa League
  10. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Maguire mitano tena Glory Glory Man United
  11. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ten Hag alituchelewesha sana
  12. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Glory Glory Man Utd Kila la kheri kwa Utd
  13. DonDonald

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mungu asaidie dakika hizi zilizobakia GGMU
Back
Top Bottom