Wakuu msaada nime deposit mtonyo kwenye 1xbet kwa kutumia tigopesa but hela haijafika adi now. Hivyo msaada wa mawasiliano yao au namna ya kuzipata hela zangu natanguliza shukran [emoji120][emoji120][emoji120]
Ni ukweli kitu Kama hicho kilitokea nami pia nilishuhudia dhahiri shahiri nikiwa Geita, in short anachokisema impongo ni ukweli mtupu na wala haongopi ata chembe.
Nina laptop yangu DELL INSPIRON 15-3537 ilidondoka kwa bahati mbaya, sasa ukiiwasha inawaka lakini haidisplay kitu, lakini pia ukiizima kwa mbali inaonyesha kamwanga kwa mbaliii sanaaa, je? tatizo ni motherboard au kioo au ni nini tatizoo?? Msaada tafadhali
Gheto by juma nature, akwelina , tina by flesh p ft nature,kamanda by daz nundaz , mabinti by mwana fa, nipe mimi by mh temba ft ray c, amekomaa side mnyamwezi by mh temba ft q chillah,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.