Recent content by Donatila

  1. Donatila

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Jibu zuri, maana Kuna wakati mume yupo safarini, utakilinda kitumbua au utauza kwa majirani...
  2. Donatila

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Huwezi elewa kama una ELIMU ya MZUNGU 😂😂
  3. Donatila

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    maji ya moto anawie kule kwa mshangazi 😂
  4. Donatila

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Omba Toba Rehema Zaburi 51... Wakati mwingine ni Roho ya Uzinzi kama ukiwa na tamaa ya zinaa kupitiliza
  5. Donatila

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Mtafute Mungu akupe wa kufanana naye...( Mume)
  6. Donatila

    Inawezekana mwanamke akaolewa ila akawa hana furaha ktk ndoa yake maisha yake yote?

    NDIO inawezekana, hasa akiamua kuolewa sababu ya pesa huku hajampenda anayemuoa... Ndoa hiyo kwake ni majuto na maumivu makali... Nasikitika sana sababu ndoa nyingi wanawake wanajutraaa na ni kifungo kwao...
  7. Donatila

    Nimeachana na mchumba niliyedumu naye kwa miaka 5 kisa hana Bikra

    GenZ sijui mnawaza kwa kutumia Nini...
  8. Donatila

    TANZIA Mbunifu wa jina la Tanzania, Mohammed Iqbal Dar afariki Dunia nchini Uingereza

    KUFA ili tujue MAZURI yako... Msemo mpya huu uingie kwa kamusi
  9. Donatila

    Ukiwaza kwa facts utagundua kataa ndoa ni watu smart sana kichwani.

    Mwanaume anayezini Hana akili kabisa...
  10. Donatila

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Ukiona watu wanapingana kuhusu MUNGU na ni wakristo ujue hawajamjua BADO... Dini bila kujua Mungu, haina tofauti na neno linasema watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa... NB: Mambo ya Mwilini na Rohoni yanahitaji ELIMU
  11. Donatila

    Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Kumcha Mungu ni kuwa huru kutoka kwenye vifungo vya GIZA
  12. Donatila

    Heka Heka za Ndoa.

    NDOA Sio ya KILA MTU isipokuwa wenye AKILI ZA ROHONI Nb: Ndoa ni IBADA na sio TENDO la NDOA pekee
  13. Donatila

    Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    UCHAWI ni SIRI Ukisema tu SIRI unakufa
Back
Top Bottom