NDIO inawezekana, hasa akiamua kuolewa sababu ya pesa huku hajampenda anayemuoa...
Ndoa hiyo kwake ni majuto na maumivu makali...
Nasikitika sana sababu ndoa nyingi wanawake wanajutraaa na ni kifungo kwao...
Ukiona watu wanapingana kuhusu MUNGU na ni wakristo ujue hawajamjua BADO...
Dini bila kujua Mungu, haina tofauti na neno linasema watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa...
NB: Mambo ya Mwilini na Rohoni yanahitaji ELIMU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.