Recent content by Donatila

  1. Donatila

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke alie olewa na kuishi bila kupata mtoto, hana haki ya kuheshimiwa

    Usiombe ukawa Hannah wa Biblia aliyechelewa kupata mtoto alafu ukaishi na Penina, utaona huna thamani wala kuheshimiwa...
  2. Donatila

    JamiiForums Tanzania Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Mkeo ni jini mahaba acha kusingizia Vaseline
  3. Donatila

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Ni hatari na huko ndio vijana wanapatia pesa za mitaji, wanafungua kama taasisi za mikopo kwa vijana, alafu kigezo ni kupinduana...
  4. Donatila

    JamiiForums Tanzania Wadada wa kichaga acheni usela kwenye mapenzi

    😂😂😂😂 Tunasaka pesa kiruuu
  5. Donatila

    JamiiForums Tanzania Ukiona unaihangaikia sana ujue siyo ya kwako mwenye nayo haiombi

    Hata waliooa wanaiomba... Alisikika mwanandoa aliyenyimwa utamu akilia mtandaoni...
  6. Donatila

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wanawake Wembamba wanaenda gym kutafuta wanaume!

    Kuna ukweli hapa... Asipuuzwe...
  7. Donatila

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu ya ajabu kunikuta ila Ni somo linanipa kicheko leo

    Adui wa mtu si mtu wa nyumbani mwake, baba mchungaji... Kaini alimuua Habili...
  8. Donatila

    JamiiForums Tanzania Tuweni makini na hawa wapenzi wa mtandaoni

    Eti mimi "mipira nina allergy nayo😂😂
  9. Donatila

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kumuoa

    Pole kaka, utapata tu... Mungu akusaidie...
  10. Donatila

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuombwa ombwa hela, kwa kigezo cha mahusiano

    Mwanaume ni lazima uwe unatoa pesa... NB: Kwa mkeo
  11. Donatila

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kukutana na Mpenzi/ Mchumba mwenye Chale nyingi kwenye Mwili wake? Nini kilikushangaza? Ulichukuliaje?

    Nitapatiliza wana uovu wa baba zao na mama zao kizazi Cha kwanza na Cha pili Cha tatu na Cha Nne... NB: Uovu ni Laana...
  12. Donatila

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu ameomba nimuoe mke wake?

    Hivyo unataka Kula makombo...? Tafuta chakula kibichi upike mwenyewe ule...
  13. Donatila

    JamiiForums Tanzania Unasubiri akupose ndio umpe penzi anasubiri umpe penzi ndio akupose, mwendo wa kutegeana.

    Mwanaume anayezini Hana akili kabisa....
  14. Donatila

    JamiiForums Tanzania Utajuaje kama wewe ni mwanaume dhaifu?

    Mwanaume ni lazima uwe mwanaume... Mwanaume ni mfano wa Mungu
  15. Donatila

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa mapenzi ulikuacha na kumbukumbu ipi usiyoweza kuisahau?

    Mapito na maumivu na kutokuachilia ndio chanzo cha wengi kupata tatizo la afya ya akili na wengine kuuana kwenye ndoa... NB: Kabla hujaoa au KUOLEWA hakikisha unampima mwenza wako akili
Back
Top Bottom