Recent content by Don_Gazzy

  1. Don_Gazzy

    Zifahamu Bunduki aina mbalimbali

    Kijana furahia uhuru uliokupa mpaka shibe na bando,
  2. Don_Gazzy

    Kugawa gawa Mikoa Tanzania

    Wel said [emoji419][emoji120][emoji817]
  3. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Ipo kwenye mchakato wa kuwekezwa, hivo ndivyo ilivyo
  4. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    TUNALIKUZA TU HILI JAMBO LA KUUZA BANDARI ANGALI TUNAJUA SI KWELI. WEKA MEZANI MKATABA WA MAUZIANO
  5. Don_Gazzy

    Uhusiano kati ya suala la DPW, kutukanwa Rais na ugumu wa maisha

    Wabongo tunajali "nimekula nimeshiba mim na familia yangu" hata wanaonyonya Bandari wanatetea kwa maslahi hayo.
  6. Don_Gazzy

    Uhusiano kati ya suala la DPW, kutukanwa Rais na ugumu wa maisha

    Watanzania wengi si hatupendi maandishi
  7. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    WE MWENYEW UNAJUA HAIWEZEKANI NA HAWEZI.
  8. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Ndio nimesema Rais anapitia wakati mgumu, kazi hii hata magufuli alisema, urais ni kazi ngumu, tukumbukeni
  9. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Ubinafsishwaji wa bandari ni moja ya hatua za kuongeza mapato ya serikali, tungepaswa kuona kwanza nia na lengo zuri la Rais, huku tukijua kua hakuna rais anayeweza kuuza bandari wala nchi katika karne hii.
  10. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Tupia hapa MKATABA ULIOSAINIWA
  11. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Hakuna mahali amekatazwa mtu kuhoji.
  12. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Mnaweza kutoa hoja za kueleweshana bila kutumia lugha isio faa
  13. Don_Gazzy

    Rais Samia ana kazi ngumu kwa sasa

    Upewe wew malaika? Kwenye dini kajifichaje?
Back
Top Bottom