Recent content by DON YRN

  1. DON YRN

    Ukiwa na Jazba na Mihemko hutomuelewa kabisa huyu Mdau wa Facebook Erick Girbert Mange, ila ukiwa Mtulivu na mwenye Akili Kubwa utamuelewa vyema mno

    Nonsense kabisa. Unamaanisha hizo sababu ndo zilisababisha hadi watu kufuatwa majumbani na kuuliwa?
  2. DON YRN

    Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    Nina kilo tatu za kitimoto bwana ustadhi, unateseka ukiwa wapi? Akili huna...
  3. DON YRN

    Diamond Platinum tokea uhamia kuishabikia Klabu moja hivi duniani yenye Washamba wengi nawe pia sasa umekuwa kama Wao tu

    Wanaume wa huko Daslam, huku mkoani hatuna sampuli hii ya vijana
  4. DON YRN

    CHAN 2024 | Quarter-Final | FULL TIME Tanzania 0-1 Morocco | Benjamin Mkapa Stadium | 22-08-2025 | Saa 20:00 Usiku

    Watu tulikuwa hatupumui, haya kiko wapi?. Tena nahisi waarabu wamewahurumia, mlipaswa mkung'utwe hata goli 10 ili mshike adabu. Sasa turudi kwenye main point: No reforms, no election.
  5. DON YRN

    GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Akili huna na kama ulisoma hadi chuo kikuu basi wazazi wako walipata hasara kusomesha nguruwe pori!. Hoja za polepole unaweza kuzipangua kwa vijiswali uchwara kama hivyo?.
  6. DON YRN

    UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili

    Asa wewe unajua kabisa chuo kipo makao makuu ya ombaomba nchini, kama wanasomea masuala ya kuombaomba?😂😂
  7. DON YRN

    UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili

    Asa degree ndo uharo gani kwa mtu mweusi mzee baba?, degree mpaka bodaboda na wadada wauza matunda kwenye beseni wana degree leo utanambia degree ina faida nitakuelewa?
  8. DON YRN

    Nilijiandikisha kupiga kura ili nipate kitambulisho na Siyo kupiga kura

    Tume ya Uchaguzi na CCM yenu mnatakiwa mjitafakari sana kwamba; Vijana na Gen Z kujiandikisha kwetu kwa wingi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, kusiwafanye muwe na uhalali wa kuamua na kuwa na kauli moja kwamba tutapiga kura!. Kura hatutapiga ila tutatumia hivyo vitambulisho kuombea...
  9. DON YRN

    Mabraza Mlioa Njoo NIWASANUE:- Hivi ndivyo mabraza wenzenu wavyowafanyia wake zenu huko Marathon..!!!

    Ewaaaaa. Wanangu tuwapelekee moto sana wake za mabroo na tuwape mimba walee watoto wetu kwenye ndoa zao mpaka akili ziwakae
  10. DON YRN

    Chama kinachodiriki kushirikiana na Mataifa mengine ili kuharibu mstakabali wetu kifutwe

    Kajifunze kuandika kisha urudi kuandika tena, utopolo mtupu ulioandika hapa. Nitashangaa sana ukinambia na wew ni mwanafunzi au mhitimu wa Chuo kikuu
  11. DON YRN

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Hey u nigga, WTF u talkin about? 🤔 Wew na huyo mama yako ni malimbukeni, wehu na wendawazimu mbwa nyinyi. Kwanza; kitendo cha mama yako kuishi na wewe bila sababu za msingi wakati ana mji na mume wake ni uwendawazimu uliopindukia. Pili; kitendo cha mama yako kuona sehemu zako za siri ni ujinga...
  12. DON YRN

    Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    Ni mwehu mmoja tu aliyeamua awe anapunguza stress huku kwa Great thinker's . Ni wa kupuuzwa
  13. DON YRN

    Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Punguza panic kwa mambo hata madogo. Unaweza kuwa mtu unayejitoa sana kwa wafanyakazi hasa kuwajali lakini ukakosa kuwa na kauli nzuri kwao yaani kuongea ongea sana na kushikilia jambo. Unakuwa mtu wa kupanic na kuchukua maamuzi yasiyo sahihi kwa muda sahihi. Narudia tena; Punguza panic.
Back
Top Bottom