Nchi za East Afrika zinaongozwa n
Nchi za East Afrika zinaongozwa na magenge ya wahalifu ,hawa vibaka wanashirikiana kufanya ujangili wao na kuzima midomo ya raia ,shenzi kabisa
Kuna mataahira yalikuwa yanaropoka eti Samia na mazezeta wake ndio wamepandisha thamani tshs ,
Na bado federal reserve wanazidi pandisha riba tena , kufikia march chuma kitakuwa 3000 kama ilivyokuwa .
Kila siku huwa tunaongelea hili suala humu , wala si mara ya kwanza , sijasoma uchumi Ila common sense Tu inatosha kukupa picha ya hili suala .
Serikali imeajiri utitiri wa vilaza wanaojiita watu wa kodi ,sheria na wachumi na hawa mbulukenge wengine wanaojiita think-tanks WA nchi na kuwalipa...
Nchi zinafanikiwa kukuza uchumi kwa kuongeza spending power na purchasing power ya mwananchi ,mwananchi anapokuwa na kipato disposable ataspend pesa kwa wingi na hapo ndio economic growth yenye impact Kwa kila mmoja inapatikana ,maana wafanyakazi wataspend pesa mitaani ,hizo pesa zinakwenda...
Huyo mhindi ameongea ukweli ,na kwa mataahira wote mnaodhani uchumi unakuzwa kwa kuweka kodi na tozo kandamizi za kipuuzi kwa watu masikini hamna akili .
Hamna nchi iliyowahi kufanikiwa kukuza uchumi kwa style hii ,never
As long as mbinyo Kwa walalahoi wenye kupata kipato duni unaendelea kuwahakikishia mabilioni ya pesa za kulipana mishahara minono ,posho nono,magari ya anasa ,mafuta na anasa nyingine basi .
Brentford kesho inabidi tuingie kininja na mbinu kali za porini , wale wajinga huwa wanakamia game zetu balaa .
Makosa ya beki na kipa kesho inabidi kocha afanyie kazi hili suala ,tukicheza kama tulivyocheza na spurs tutasulubiwa vibaya kesho , Brentford wanakaba na wanacheza mpira wa kasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.