Maskini Mwanafunzi alipitia mateso kama ya Yesu kristu mwana wa Nazareth. Kifo chake kilikuwa cha mateso Mno. Mwalimu hakuwa na Huruma maskini
Nukuu ya kesi
"....…...Mwalimu Respicius akaendelea kumpiga Sperius huku akisema “huu ni usanii, hivi sivyo wanavyozimiaga”*
Wakasimama pale kwa muda...
Mfano Majina ya Sensa yametoka kila Mkoa na wilaya na Halimashauri zake. lakini ukifungua yanakataa. Wataalamu tunaomba msaada wenu na majibu Yenu kitaalamu.
kweli kabisa mkuu, nadhani kuna jambo wamelenga hapo. Wale waishio vijijini sijui kama watapata hizo nafasi ngoja tusubiri. Asante kwa kujaribu kututetea lakini nadhani hawatakusikiliza
Kweli Kabisa tunatengwa Sana hasa Kwanza kupata Ajira zenyewe. Nadhani wanasiasa wanatumia tu NENO AJIRA kwa Sisi walemavu ni kwaajili ya kujipatia Kura.
Kwani walemavu Sio wengi ambao tumesoma. Serikali ingesema tu tupewe Ajira kulingana na Viwango vyetu vya Elimu nadhani wangepunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.