Recent content by Don san tan

  1. Don san tan

    Hukumu ya kifo ya mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa kiswahili

    Maskini Mwanafunzi alipitia mateso kama ya Yesu kristu mwana wa Nazareth. Kifo chake kilikuwa cha mateso Mno. Mwalimu hakuwa na Huruma maskini Nukuu ya kesi "....…...Mwalimu Respicius akaendelea kumpiga Sperius huku akisema “huu ni usanii, hivi sivyo wanavyozimiaga”* Wakasimama pale kwa muda...
  2. Don san tan

    Umuhimu wa mapumziko siku ya Sensa

    Ahsante Sana kwa Hoja Yako. Serikali imekusikia na tumeitendea haki Hoja hii. Tuendelee kuungana na Serikali yetu sikivu. Ahsante kwa Hoja
  3. Don san tan

    AJALI: Basi la Tanzanite lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam lapata ajali Manyoni. Watano wafariki dunia

    Kauli za kupunguza Traffic 🚦⛔ Barabarani Sio nzuri naomba wanasiasa tuwajibike kwa Hilo Tamko la kupunguza Traffic. Traffic warudi Mara Moja.
  4. Don san tan

    Changamoto ya kuona majina ya Sensa kwenye mitandao yetu nini tatizo?

    Mfano Majina ya Sensa yametoka kila Mkoa na wilaya na Halimashauri zake. lakini ukifungua yanakataa. Wataalamu tunaomba msaada wenu na majibu Yenu kitaalamu.
  5. Don san tan

    Barua ya wazi kwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali (NBS), nitafungua kesi kushitaki, kuna utapeli katika kuomba Ajira za Sensa

    kweli kabisa mkuu, nadhani kuna jambo wamelenga hapo. Wale waishio vijijini sijui kama watapata hizo nafasi ngoja tusubiri. Asante kwa kujaribu kututetea lakini nadhani hawatakusikiliza
  6. Don san tan

    Kutengwa kwa Watu wenye Ulemavu mahali pa kazi hugharimu Tanzania Dola milioni 480 kila Mwaka

    Kweli Kabisa tunatengwa Sana hasa Kwanza kupata Ajira zenyewe. Nadhani wanasiasa wanatumia tu NENO AJIRA kwa Sisi walemavu ni kwaajili ya kujipatia Kura. Kwani walemavu Sio wengi ambao tumesoma. Serikali ingesema tu tupewe Ajira kulingana na Viwango vyetu vya Elimu nadhani wangepunguza...
  7. Don san tan

    Sijamwelewa Waziri Mkuu amemaanisha au ndiyo kusema ukiitwa mbele ya mfalme lazima umfurahishe

    Hayo ni Mawazo yake Sio ya Watu wote... Sisi CCM tuna utaratibu Wetu katika CHAMA
  8. Don san tan

    #COVID19 Chongolo: Viongozi wa CCM wanaopinga Chanjo mchakato wa kuwashughulikia umeanza, hakuna aliye mkubwa kuliko chama

    KWA KWA NINI WASHUGHULIKIWE WATU KUTOA MAONI YAO AMBAYO NI HAKI KIKATIBI?
  9. Don san tan

    #COVID19 Wizara ya Afya: Hadi Agosti 7, 2021, watu 105,745 walikuwa wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19

    SAFI SANA TUNATAMANI WATU KAMA NYIE NDO MNAUPIGA MWINGI
  10. Don san tan

    Charles Odero, afungua kesi Katika Mahakama Kuu kupinga tozo za Miamala ya Simu

    Hiyo tume tunaipeleka MAHAKAMANI wakajibu hoja 😄
  11. Don san tan

    Hawa wote hawalipi KODI hapa Tanzania

    UMEPANIKI DADANGU MPENZI
  12. Don san tan

    Kwa mara ya kwanza habari za Mbowe kukamatwa zapewa uzito television ya Al Jazira. Kwanini leo?

    Aljazeela ni chombo cha Habari Kama vyombo vingine Inaripoti habari Kama Vyombo vingine
Back
Top Bottom