Recent content by Don san tan

  1. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Vodacom unasumbua sana kwa sasa

    voda internet yake hakuna kitu mkuu
  2. Don san tan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

    Elew Elewa Neno hili......(Excluding all madmen)
  3. Don san tan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

    Kikao kimemaliziki Hivi punde Hapa Burkina Faso kwa ukanda wa Africa na Hayo ndio makubaliano Yetu. Sambamba na Hilo tumekubaliana kuhudhuria Kikao kitakachofanyika Huku Switzerland mapema Mwezi ujao. Na mwandishi Wetu - Africa
  4. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Wakristo kufuturisha waislamu badala ya wakristo wenzao mwezi huu wa kwaresma inafikirisha sana

    kweli kabisa mkuu, sisi hasa ni matendo mema
  5. Don san tan

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO Arumeru-Arusha tumeshinda bila umeme mpaka sahivi mnataka tulale na giza?

    ngoja kwani tununue mkuu, hamuwezi kukosa tena
  6. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi

    kwa nini mkuu, nipe chama mbadala
  7. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi

    Ubunge wa viti maalum mkuu
  8. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi

    Naomba na sisi walemavu tujumuishwe kwenye Ubunge wa viti maalumu. CCM chama changu naomba mtuangalie na sisi tupate nafasi serikalini
  9. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

    tunaijua hiyo
  10. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

    naijua hiyo!
  11. Don san tan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

    Wewe sio mwanaume. Chama chetu hatukutambui. Huudhurii vikao
  12. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo maneno mazito ya hotuba ya mwisho ya Gaddafi

    Kuivamia Tanzania na mwenzake Idd Amin Ndio laana Hiyo
  13. Don san tan

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kifo ya mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa kiswahili

    Maskini Mwanafunzi alipitia mateso kama ya Yesu kristu mwana wa Nazareth. Kifo chake kilikuwa cha mateso Mno. Mwalimu hakuwa na Huruma maskini Nukuu ya kesi "....…...Mwalimu Respicius akaendelea kumpiga Sperius huku akisema “huu ni usanii, hivi sivyo wanavyozimiaga”* Wakasimama pale kwa muda...
Back
Top Bottom