Ndugu yangu kuna mifumo ya hovyo imewekwa kiasi kwamba ukiwa umesoma na una kazi ya profession fulani unakuwa umebanwa huwezi kukwepa hata kama kipato kidogo lakini asiye na profession hata kama anapata kikubwa habanwi, mwisho wa siku professionals wanadharaulika wachache wanaokataa dharau hizi...
Nakubaliana na wewe upande mmoja lakini natofautiana na wewe kidogo. Kwenye kuzalisha wavivu, waongo na matapeli nakubaliana na wewe udalali unaongoza hasa huu udalali usi na control au kwa lugha nyepesi madalali wa mtaani wasiokua na ofisi maalumu. Pia kwenye kiasi ni kuwaendekeza hawa wavivu...
Uelewa wa kawaida kabisa ambao haihitaji kuwa na elimu kubwa sana. Marekani walipambana na Japan vita ya pili ya dunia kwa namna gani ilihali ukiangalia kijiografia zinaonekana mbalimbali kwenya ramani iliyopo flat.
Pili unadhani ndege ikisafiri kutoka Marekani kwenda Japan inachukua uelekeo wa...
Mengi uliyoandika yana ukweli kwa kiasi kikubwa, wanajua sana watu maarufu na mengi yasiyo ya maana na kutojua ya msingi hata yale yanayohitaji common sense.
Wengi wao wamemaliza shule mapema kutokana na kuanza shule mapema, hawafundishiki, they assume they know everything.
Wengi wao akili zao...
Ndoa sio kama wengi wanavyoichukulia, kuna tofauti kubwa sana kabla na baada ya ndoa. Kikubwa kwenye ndoa ni kuenzi utamaduni, kuwaheshimisha na kuwaheshimu wazazi, kutii maagizo ya dini na kiungo cha familia yako. Mleta mada kaandika experience aliyoipata ambayo inawawakilisha wengi walioko...
Vidonda vya tumbo anaweza kupata yeyote, umri wowote hivyo vizuri unapokuwa na tatizo la kiafya wahi kituo cha kutolea huduma za afya pata vipimo na matibabu na maisha yaendelee.
Hizi shule miaka ya nyuma zilikuwa msaada mkubwa kwa waliokosa nafasi shule zilizotambulika kipindi kile kama vipaji maalumu. Mfano, Mzumbe, Mazengo, Ilboru, Msalato, Kilakala n.k na wanafunzi hao walikuwa na uwezo mzuri darasani na ukizingatia shule za secondary binafsi zilikuwa chache so...
Ni kweli street journalism imefanikiwa kuibua maovu mengi, na pia kuna mambo mengi yenye vinasaba vya kishirikina yanaibuliwa na kushindwa kukamilika hivyo bado teknolojia ina uwanda mpana sana na kubeba lililo jema na baya. Ndio maana bado dhamira ya muhusika ndio itahesabiwa. Kuna anayerekodi...
Kumekuwa na matukio mengi yanayoendelea hivi karibuni na watu kwa kujua ama kutokujua wamekuwa wakitekeleza roho za kishirikina. Mathalani kumekuwa na wimbi la watu kurekodi matukio ya udhalilisha, aibu, uovu na hata mambo ya hovyo.
Siku hizi ni fashion kurekodi matukio maofisini, majumbani na...
Hongera kwa kuaminika bila hivyo pengine wasingeweza kukuambia wanachokitaka.
Una wajibu wa kuwapatia ufumbuzi aa mgogoro wa nafsi na mgogoro na wazazi wao na hivyo wasipopata utatuzi wa changamoto hizo unaweza kuwaathiri kwenye masomo yao au pengine kuchelewa kuenda sambamba na wengine.
Hebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.