Mchakato wa serikali tatu unamaana kubwa kwa tuliofikiria kama wengine na sio kuongeza gharama tunachohitaji ni Accountability & Transparence of Good Governance na sio uendeshaji wa gharama maana uendeshaji wa serikali yoyote ule una gharama kubwa na si kidogo lakini kama wanaoendesha hawajui...
Mfumo wa Chama chetu bora chenye watu wenye hekima hatuna nia ya kuchochea maandamano yenye kumwaga damu nia yetu ni kuleta mabadaliko na ukombozi kutoka ufisadi wa watu wachache wanao wanyonya wanyonge kwahiyo maridhiano ya maandamano ni ya amani na sio kuleta vita..
Sometimes people from different attitude sit together to make mutual reconciliation to win the national cake of our country but in these case nothing will arise rather than wastage of resources for young country like Tanzania
Ok ngoja tusubiri lkn mkuu
Tunaomba kuwe na mabadiliko TAHLISO kwa sasa ya uongozi na utendaji maana kutuambia kuna makundi mawili na kila kundi linatoa taarifa yake linavyoamua na sisi wanafunzi tunategemea chama chetu makini kama TaAHLISO hakina makundi kama ya CCM plzz over Plzz tunaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.