Recent content by Don arl

  1. Don arl

    Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

    Fundi, Issue ya Ku Outsource ni Muhimu sana kwenye Uchumi, Tatizo ni pale ambapo tunaona Gharama kwenye kutengeneza na kuendeleza vya kwetu lakini hatuoni Gharama za kununua na Service za Ma V8, while kuna cheap cars ambazo zinaweza fanya kazi hiyo hiyo!
  2. Don arl

    Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

    Fundi ni Jirani sio Jilani…sasa kama vitu vidogo hivi vinasumbua
  3. Don arl

    Natafuta kiwanja sehemu nzuri Arusha

    [emoji1488][emoji1488]Asante sana mkuu
  4. Don arl

    Natafuta kiwanja sehemu nzuri Arusha

    [emoji1488][emoji1488]Asante mkuuu
  5. Don arl

    Natafuta kiwanja sehemu nzuri Arusha

    Sehemu ya kijanii kaka
  6. Don arl

    Natafuta kiwanja sehemu nzuri Arusha

    Habari wana Jamiiforums, Mimi ni mgeni jijini Arusha, natafuta kiwanja maenezo mazuri yaliyotulia ambacho kitafaa kwa apartment au min hotel…naomba recommendation zenu sehemu gani ni nzuri kwa Jiji la Arusha! Natanguliza shukurani!
  7. Don arl

    Kama uko tayari kuingia shamba msimu huu wa kilimo karibu tuunganishe nguvu kazi

    Hapa kwenye Gharama mkuu ndo watu wanalia hasa kama ndo msimu wa kwanza kulima…otherwise They are all valid factor to consider!
  8. Don arl

    Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

    Ukiwa na akili ndogo huwezi ukamwelewaa kaka....utaishia tuu kusema hivoo
  9. Don arl

    Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

    Huruma ya wananchi itamsaidia Nini...anko anapenda watu wachapakazi lakini wafate maneno yake tuuu kama alivyo makonda ili credit zote zirudi Kwake, na hyo ndo siasa...lakn kwenye issue za professionalism hakuna siasa kaka...kama watu ni dhaifu ni dhaifu tuu...alafu aliyewekwa ndio dhaifu zaidi...
  10. Don arl

    Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

    Nikaonaa hataa...ngoja nijee huku "where we dare to talk openly"
  11. Don arl

    Nawezaje kupata fedha za kukuza wazo la biashara

    Habari Wana Jamiiforums... Let's cut to the chase, Nina mawazo mawili ya biashara katika area ya insurance na financial services ,Kwa research tulizofanya yanaweza kusaidia Watanzania kukua kiuchumi kuendana na mabadiliko ya science na technology! So far tumefinance all of the research work on...
  12. Don arl

    Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad

    Ebu Wabunge Waingilie kati haya malumbano yasiyo na msingi, na kuanza kujadili maswala yenye tija kwa taifa, Na kuacha kupoteza Hovyo Fedha za Walipa kodi! Ndugai ni mtu Dhaifu wa kwanza pale bungeni, Kiongozi Dhaifu Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
  13. Don arl

    Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad

    Ndugai kweli ni Hamnazo, kwake yeye anaona signature ina maana sana zaidi ya mtu aliyeifanya kazi. Hvi hakuna uwezekano wa Bunge kutoa hoja ya kutokuwa na imani na Spika. Hata anavyo-handle hili swala inaonyesha Udhaifu wake kama Kiongozi. Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
  14. Don arl

    Vijana tafuteni hela, acheni utani

    Hapana mkuu! Hauko sahihi hata kidogo. Anayekosa huenda tuu anatafuta mahala ambapo hakupangiwa. Kitu kikubwa ni Kumuomba sana Mungu akuongoze mahala Riziki yako ilipo! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom